Mrejesho: Tatizo langu la kupata mkojo tena dakika chache kila baada ya kumaliza kukojoa

Mkuu polee sana. Hicho kipimo kinaitwa urethrogram. Nakushauri ufanye ili iwe rahisi kujua tatizo lako. Usipende sana ramli mkuu. Maumivu ni kidogo sana na pia unakuwa exposed kwenye radiations. Otherwise nadhani ni njia sahihi kujua tatizo lako.
Hicho kipimo wala kisikutishe, kuna vingine ambavyo ni very worse. Mfano barium enema( unapitishiwa kupitia njia ya haja kubwa)
Kipimo hakiwez niletea shida kwenye dick usimamaji pia au kidonda ktk njia ya mkoja Hadi kwenye kibofu labda kikanichubua ndani kwa ndan nakuacha kidonda
 
Mimi naona wewe huna tatizo,hata mimi nikinywa maji mengi hasa kuanzia lita 1 kukojoa nusu saa huwa haipiti na naenda mara kwa mara
 
Mimi naona wewe huna tatizo,hata mimi nikinywa maji mengi hasa kuanzia lita 1 kukojoa nusu saa huwa haipiti na naenda mara kwa mara
Ukinywa maji Lita moja utaenda chooni Mara ngap kwasiku
 
Navyoona una Incomplete Bladder Emptying ambayo inaweza kutibiwa kwa dawa za kawaida tuu.

Labda tujue walikupa dawa gani mkuu wangu.
Baaada yakuona hawaona chochote kwenye vipimo... walinipa Cipro na declofenac nshamalaiza dozi Ila Hali iko vile vile
 
mkuu fanya mazoezi asubuhi na jioni hilo tatizo litaisha mara moja, wewe mkono ndo chanzo chako cha kutoa taka mwili, we piga tizi la kutosha ulete mrejesho
 
Majibu
1.Kasi yamkojo ni ile ile Kama nimekunywa maji mengi Kama sijanywa inapungua
2.ukubwa wa mkojo nikiwa nimebanwa Kama nimekunywa maji ni ule ule Ila Kama sijanywa ni mwembamba
3. Ndio wakat mwingne Ila Mara chache Sana usiku nikiamka kukojoa unaweza toka Kama uko ktk mabomba mawili au unatoka Kama Bomba moja Ila unakua Kona unapinda pembeni yaan hauwi direct
4.ndio nikimaliza kukojoa nikiwa uume umo ndani au kuupitisha ktk zipu kuingia ndani naskia matone yanamalizikia tone
5.nimeoa Nina mke Ila sikutani nae Mara kwa Mara yaan sishiriki nae tendo la ndoa Mara kwa Mara
6.nilishawahi fanya punyeto Mara 7 tu ktk kipindi choote mpaka nafika umri huu
7.ndio upande wa chini yambavu hasa wakulia huwa nahis maumivu Kama simaumivu Hali flani yakitu kimejaa hivi hasa mkojo unapokua umenibana nanikachelewa kwenda kukojoa nahis hiyo Hali Kama mkojo utakua upanda juu mbavu usawa wakuja ktk kitovu
8.kwenye kibofu huwa sihisi maumivu yoyote Zaid yakuhisi kitu flan kukaa kufura kama mkojo umenibana nikachelewa kidgo kwenda kojoa nahis Hali hiyo yapia mkojo kwenda usawa wa mbavu
9.ndio nikimaliza kukojoa huwa nahis ahueni kubwa kabisa ktk kibofu
10.kiasi Cha mkojo huwa natoa kingi Kama nimekunywa maji mengi namkojo nausukuma kwa Kasi napia asubuh napata kiasi Cha mkojo sio kwa wiingi kwakiasi sio kidogo Wala kingi Ila nakipata usiku wamanane na asubuh pia
11.tatizo tangu limenianza linamuda wamiaka Kama miaka 4 au Zaid sichini yahapo maaana sinakumbukumbu vizur
12.ndio imefika hatua naogopa Kunywa maji mengi kuhofia mkojo hasa nikiwa safarini yamasaa kuanzia mawili au nikiwa katika shuguli zakualikwa au kwenda kwenye maofisi yawatu kwakuogopa kupata mkojo nakwenda chooni Mara kwa Mara.. Ila nikiwa mwenyewe nakunywa mengi tu sihofiii kwenda chooni maana nikinywa maji mengi nikiwa mwenyewe baada dk40 mkojo utaanza kubana nasafar yakwenda chooni Mara kwa Mara unaanza kila baada ya dk30 au Zaid ntaenda Mara Zaid ya7 mpaka nihisi sinamkojo ktk kibofu
Nadhani nimeyajibu maswali yako yoote mkuu
Kwanini hufanyi mapenzi mara kwa mara na mkeo? Unapata maumivu wakati wa tendo ama? Daah pole sana aisee!
 
Mkuu Pole sana kuhusu hicho kipimo cha kutia katika tundu la dushelele lako hakina ubaya. Nikuulize swali unakuw amtu mwenye mawazo sana? na ninahisi utakuwa na maradhi yanayotokana na mambo ya giz aikiwa vipimo vyote umepima na hakuna maradhi yaliyo onekana basi utakuwa unayo maradhi ya kichawi . Ushauri wangu pia jaribu utibiwe na dawa zetu za asili ili uweze kupata kupona ikiw aunaogopa kutiwa kipimo katika dushelele lako.
Ndugu umenena vyema kabisa kua tatiso lipo kichwani, maana Mimi pia nilikua na ili tatizo nikapimwa vipimo vyoote alivyosema mtoa mada na sikukutwa na tatizo nikaambiwa tatizo ni msongo wa mawazo na nikweli nilikua na hofu kubwa ya Mambo mbali mbali ktk maisha yangu, waliponipa ushauri nikachukua hatua ikanisaidia kumaliza Hilo tatizo, hata Sasa ikinitokea hali ya msongo hua inanijia tena.
 
Wakuu Leo nimeleta mrejesho wa tatizo langu la kukojoa Mara kwa mwara na kupata mkojo Tena kila napomaliza kukojoa baada ya dakika kadhaa nabanwa Tena na mkojo yaan kiufupi mkojo hausishi.

Wakuu nilifuata ushauri wenu nikafika Muhimbili kitengo cha urology nikamuelezea daktar kila kitu, daktari akaelekeza nikafanyiwe vipimo vya damu,ultrasound na mkojo.

Majibu yaliyotoka ya vipimo ya sina ugonjwa wowote na wakati nafanyiwa kipimo Cha ultrasound nimemaliza wakanambia kakojoe uje tuendelee kufanya kipimo nilipoenda kukojoa nikakojoa kuumaliza mkojo wote Ila baada ya kurud kuendelea na kipimo wakapima Tena ultrasound wakaona kibofu kina mkojo tena, nikawaambia hilo ndio tatizo langu sasa.

Ikabidi waendelea kuangalia ini ktk mbavu chembe ya moyo koote hawakuona kitu wakasema labda huyu afanyiwe kipimo wakataja kipimo sjui kipimo gani skukielewa walitaja kingereza. Kesho yake nilirudi kwa daktar akanisomea majibu akasema majibu yanaonyesha hakuma chochote tezi dume iko sawa ndogo Sana pia kibofu kipo sawa pia figo ziko sawa pia nakipimo Cha damu kipo sawa.

Dokta akanambia inabid Sasa labda ufanyiwe kipimo cha kupitisha kifaa ktk tundu la njia yamkojo mpaka katika kibofu kuangalia kuna nin shida hapo...kiukweli mimi niliwazaaa hili lakupitisha kifaa katika njia yamkojo nkaogopa ikabid nimfiche daktari kuwa kwasasa sinapesa yakopimo mpaka baada miezi mitatu ikizingatia naishi mkoani basi daktari akawa kaniandikia nirudi mwezi wanne kwa ajili ya hiko kipimo
Wakuu huu ndio mrejesho wangu je kipimo hicho nilichoandikiwa je ni salama kweli kwa afya ya uume wangu na njia pia ya mkojo.
kuna comment nimejieleza vizuri, kifupi hayo unayopitia nilishapitia hadi vipimo upivyopima ila kubwa ni msongo wa mawazo na hofu nilipofanyiwa ushauri nilipona. Hivyo jitahidi kujipa amani hata Kama unapitia magumu kiasi gani.
 
Ndugu umenena vyema kabisa kua tatiso lipo kichwani, maana Mimi pia nilikua na ili tatizo nikapimwa vipimo vyoote alivyosema mtoa mada na sikukutwa na tatizo nikaambiwa tatizo ni msongo wa mawazo na nikweli nilikua na hofu kubwa ya Mambo mbali mbali ktk maisha yangu, waliponipa ushauri nikachukua hatua ikanisaidia kumaliza Hilo tatizo, hata Sasa ikinitokea hali ya msongo hua inanijia tena.
Pole sana jaribu dawa zetu za asili utpona msongo wamawazo.
 
Ungesema hapa hapa tukafaidika wengi mkuu.
Sawa.
Kwa hali inayompata angetatua tatizo la gas. Nimewahi kuwa na hiyo hali nilihangaika sana Muhimbili bila mafanikio, na siyo Muhimbili tu na Hospital nyingine kabla sijaenda hapo.
Mwishoni nilitumia dawa za wa Pemba pale Kariakoo karibu na daladala za Tegeta na Mwenge zinaposimama. Nilipewa dawa ya kuchanganya na uji baada ya hapo unaendesha hatari ila unainywa usiku.
Baada ya siku 3 nikawa mzima kabisa. Na hata hiyo hali ikijirudia ndio dawa natumia.
Asante
 
jina la hizo dawa mkuu, msaada
Sawa.
Kwa hali inayompata angetatua tatizo la gas. Nimewahi kuwa na hiyo hali nilihangaika sana Muhimbili bila mafanikio, na siyo Muhimbili tu na Hospital nyingine kabla sijaenda hapo.
Mwishoni nilitumia dawa za wa Pemba pale Kariakoo karibu na daladala za Tegeta na Mwenge zinaposimama. Nilipewa dawa ya kuchanganya na uji baada ya hapo unaendesha hatari ila unainywa usiku.
Baada ya siku 3 nikawa mzima kabisa. Na hata hiyo hali ikijirudia ndio dawa natumia.
Asante
 
Sawa.
Kwa hali inayompata angetatua tatizo la gas. Nimewahi kuwa na hiyo hali nilihangaika sana Muhimbili bila mafanikio, na siyo Muhimbili tu na Hospital nyingine kabla sijaenda hapo.
Mwishoni nilitumia dawa za wa Pemba pale Kariakoo karibu na daladala za Tegeta na Mwenge zinaposimama. Nilipewa dawa ya kuchanganya na uji baada ya hapo unaendesha hatari ila unainywa usiku.
Baada ya siku 3 nikawa mzima kabisa. Na hata hiyo hali ikijirudia ndio dawa natumia.
Asante
tupe maelezo yaliso sahihi ya iyo dawa inaitwaje ama jina la muuzaji hapo dukani
 
Mkuu Pole sana kuhusu hicho kipimo cha kutia katika tundu la dushelele lako hakina ubaya. Nikuulize swali unakuw amtu mwenye mawazo sana? na ninahisi utakuwa na maradhi yanayotokana na mambo ya giz aikiwa vipimo vyote umepima na hakuna maradhi yaliyo onekana basi utakuwa unayo maradhi ya kichawi . Ushauri wangu pia jaribu utibiwe na dawa zetu za asili ili uweze kupata kupona ikiw aunaogopa kutiwa kipimo katika dushelele lako.
Kwa hiyo mzizi unatibu watu waliorogwa ?
 
Mkuu polee sana. Hicho kipimo kinaitwa urethrogram. Nakushauri ufanye ili iwe rahisi kujua tatizo lako. Usipende sana ramli mkuu. Maumivu ni kidogo sana na pia unakuwa exposed kwenye radiations. Otherwise nadhani ni njia sahihi kujua tatizo lako.

Hicho kipimo wala kisikutishe, kuna vingine ambavyo ni very worse. Mfano barium enema( unapitishiwa kupitia njia ya haja kubwa)
Iyo Urethrogram nikiionaga mtu amewekewa mwili wote unanisisimkaga
 
Back
Top Bottom