Baba Vladmir
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 261
- 433
Una umri gani??Mimi pia Nina tatizo kama hili please aliyepata matibabu sahihi anisaidie
Una umri gani??Mimi pia Nina tatizo kama hili please aliyepata matibabu sahihi anisaidie
Carlos hiyo camera haiwezi sababisha mkojo ukose breki uwe unatoka wenyewe?Inaitwa Cystoscopy , haina maumivu yoyote mkuu.
Hutumika kuangalia kama Kibofu cha mkojo kina shida
Wakuu Leo nimeleta mrejesho wa tatizo langu la kukojoa Mara kwa mwara na kupata mkojo Tena kila napomaliza kukojoa baada ya dakika kadhaa nabanwa Tena na mkojo yaan kiufupi mkojo hausishi.
Wakuu nilifuata ushauri wenu nikafika Muhimbili kitengo cha urology nikamuelezea daktar kila kitu, daktari akaelekeza nikafanyiwe vipimo vya damu,ultrasound na mkojo.
Majibu yaliyotoka ya vipimo ya sina ugonjwa wowote na wakati nafanyiwa kipimo Cha ultrasound nimemaliza wakanambia kakojoe uje tuendelee kufanya kipimo nilipoenda kukojoa nikakojoa kuumaliza mkojo wote Ila baada ya kurud kuendelea na kipimo wakapima Tena ultrasound wakaona kibofu kina mkojo tena, nikawaambia hilo ndio tatizo langu sasa.
Ikabidi waendelea kuangalia ini ktk mbavu chembe ya moyo koote hawakuona kitu wakasema labda huyu afanyiwe kipimo wakataja kipimo sjui kipimo gani skukielewa walitaja kingereza. Kesho yake nilirudi kwa daktar akanisomea majibu akasema majibu yanaonyesha hakuma chochote tezi dume iko sawa ndogo Sana pia kibofu kipo sawa pia figo ziko sawa pia nakipimo Cha damu kipo sawa.
Dokta akanambia inabid Sasa labda ufanyiwe kipimo cha kupitisha kifaa ktk tundu la njia yamkojo mpaka katika kibofu kuangalia kuna nin shida hapo...kiukweli mimi niliwazaaa hili lakupitisha kifaa katika njia yamkojo nkaogopa ikabid nimfiche daktari kuwa kwasasa sinapesa yakopimo mpaka baada miezi mitatu ikizingatia naishi mkoani basi daktari akawa kaniandikia nirudi mwezi wanne kwa ajili ya hiko kipimo
Wakuu huu ndio mrejesho wangu je kipimo hicho nilichoandikiwa je ni salama kweli kwa afya ya uume wangu na njia pia ya mkojo.
Kuna rafiki yangu mtoto wake anateswa na kifua sanaJaribu pia kupunguza gharama, ulishawahi kunitajia gharama ya dawa ya pumu nilichoka mwenyewe.
Nashukuru Mungu mwanangu amepona kwa gharama nafuu.
Inaitwa Cystoscopy , haina maumivu yoyote mkuu.
Hutumika kuangalia kama Kibofu cha mkojo kina shida
Huyo jamaa Mzizimkavu ni noma ni Mganga wa kienyeji alikuwa akiishi Uturuki mimi niliongea naye kwenye simu ndipo nilipomgunduwa kuwa mpiga pesa tu.Jaribu pia kupunguza gharama, ulishawahi kunitajia gharama ya dawa ya pumu nilichoka mwenyewe.
Nashukuru Mungu mwanangu amepona kwa gharama nafuu.
Mkuu ili tatizo ushapona?Wakuu Leo nimeleta mrejesho wa tatizo langu la kukojoa Mara kwa mwara na kupata mkojo Tena kila napomaliza kukojoa baada ya dakika kadhaa nabanwa Tena na mkojo yaan kiufupi mkojo hausishi.
Wakuu nilifuata ushauri wenu nikafika Muhimbili kitengo cha urology nikamuelezea daktar kila kitu, daktari akaelekeza nikafanyiwe vipimo vya damu,ultrasound na mkojo.
Majibu yaliyotoka ya vipimo ya sina ugonjwa wowote na wakati nafanyiwa kipimo Cha ultrasound nimemaliza wakanambia kakojoe uje tuendelee kufanya kipimo nilipoenda kukojoa nikakojoa kuumaliza mkojo wote Ila baada ya kurud kuendelea na kipimo wakapima Tena ultrasound wakaona kibofu kina mkojo tena, nikawaambia hilo ndio tatizo langu sasa.
Ikabidi waendelea kuangalia ini ktk mbavu chembe ya moyo koote hawakuona kitu wakasema labda huyu afanyiwe kipimo wakataja kipimo sjui kipimo gani skukielewa walitaja kingereza. Kesho yake nilirudi kwa daktar akanisomea majibu akasema majibu yanaonyesha hakuma chochote tezi dume iko sawa ndogo Sana pia kibofu kipo sawa pia figo ziko sawa pia nakipimo Cha damu kipo sawa.
Dokta akanambia inabid Sasa labda ufanyiwe kipimo cha kupitisha kifaa ktk tundu la njia yamkojo mpaka katika kibofu kuangalia kuna nin shida hapo...kiukweli mimi niliwazaaa hili lakupitisha kifaa katika njia yamkojo nkaogopa ikabid nimfiche daktari kuwa kwasasa sinapesa yakopimo mpaka baada miezi mitatu ikizingatia naishi mkoani basi daktari akawa kaniandikia nirudi mwezi wanne kwa ajili ya hiko kipimo
Wakuu huu ndio mrejesho wangu je kipimo hicho nilichoandikiwa je ni salama kweli kwa afya ya uume wangu na njia pia ya mkojo.
Nikuunganishe na huyo aliyemtibu wa kwanguKuna rafiki yangu mtoto wake anateswa na kifua sana
Huoni kuwa umemnyima ushirikiano Dr wako? Je na yeye akikudanganya utajisikiaje?ikabid nimfiche daktari kuwa kwasasa sinapesa yakopimo mpaka baada miezi mitatu ikizingatia naishi mkoani basi daktari akawa kaniandikia nirudi mwezi wanne kwa ajili ya hiko kipimo
Wakuu huu ndio mrejesho wangu je kipimo hicho nilichoandikiwa je ni salama kweli kwa afya ya uume wangu na njia pia ya mkojo.
Fanya hivyo mremboNikuunganishe na huyo aliyemtibu wa kwangu
SawaaaFanya hivyo mrembo
Bado sjapona mkuuMkuu ili tatizo ushapona?
Inaweza ikawa una makovu kwenye njia ya mkojo ambayo inaweza kuwa imesababishwa na infections za kipindi cha nyuma sana kwenye njia ya mkojo zilizosababishwa na magonjwa kama UTI nkBado sjapona mkuu
Yeah hii pia inasababisha sanaInaweza ikawa una makovu kwenye njia ya mkojo ambayo inaweza kuwa imesababishwa na infections za kipindi cha nyuma sana kwenye njia ya mkojo zilizosababishwa na magonjwa kama UTI nk
36Una umri gani??