Mrejesho: Tatizo langu la kupata mkojo tena dakika chache kila baada ya kumaliza kukojoa

Pole sana mkuu
nikuulize maswari machache hunijibu

1*je kasi (presha ya mkojo) imepungua
yaan unajikwinya sana kuutoa mkojo
2*je mkojo hutoka ukiwa mwembamba sana(yaan ukubwa wa mkojo vile unatoka upo tafauti na zamani)
3*je wakati mwingne mkojo hutoka km mabomba mawiri au matatu yaan hutawanyika hasa km ukiwa umetoka kuamka
4*je ukimaliza kukojoa ushafunga zipu huwa unajihisi km chembechembe za mkoja zinatoka zinamalizia
5*umeoa au unaishi na mwanake au mpenz ambaye mnakutana(sex) mara kwa mara
6*je huwa unafanya au uliwahi kuwa unafanya punyeto sana
7*je chini ya mbavu au juu ya kitovu pande zote huwa unajihisi maumibu makari hasa mkojo ukiwa umekubana ?
8*kutoka kwenye mbavu kuja kwenye kibovu huwa unahisi km kuna tube(mithiri km bomba) zinawaka moto au maumivu yanafanana na kidonda km kimewekwa ndimu
8*je huwa unahisi maumivu kwenye kibofu yaan kibofu km kinawaka moto mitihili kidonda kilichowekwa ndimu
9*ukimaliza kukojoa huwa unahisi ahueni kubwa kwenye kibofu mpk ureta ambayo udumu kwa muda mchache
10*je kiasi cha mkojo huwa unatoa kwa wingi kutokana ns kukuuma kwa kasi au ni kwa uchache mkojo wa asubuhi huwa unakoa kwa uchache pia
11* je hilo tatizo tangu limekuanza lina muda gani ?
12* swali la mwisho je imefikia hstua unaogopa kunywa maji mengi kuhofia mkojo?
Mimi napenda sana kunywa maji mengi ila imefikia hatua sasa naogopa kunywa hayo maji mengi kwa kuhofia kukojoa mara kwa mara na wakati mwengine hata glass moja ya maji naweza kuhofia kunywa kwenye mazingira ambayo si rafiki na chooni.
 
Pole sana mkuu
nikuulize maswari machache hunijibu

1*je kasi (presha ya mkojo) imepungua
yaan unajikwinya sana kuutoa mkojo
2*je mkojo hutoka ukiwa mwembamba sana(yaan ukubwa wa mkojo vile unatoka upo tafauti na zamani)
3*je wakati mwingne mkojo hutoka km mabomba mawiri au matatu yaan hutawanyika hasa km ukiwa umetoka kuamka
4*je ukimaliza kukojoa ushafunga zipu huwa unajihisi km chembechembe za mkoja zinatoka zinamalizia
5*umeoa au unaishi na mwanake au mpenz ambaye mnakutana(sex) mara kwa mara
6*je huwa unafanya au uliwahi kuwa unafanya punyeto sana
7*je chini ya mbavu au juu ya kitovu pande zote huwa unajihisi maumibu makari hasa mkojo ukiwa umekubana ?
8*kutoka kwenye mbavu kuja kwenye kibovu huwa unahisi km kuna tube(mithiri km bomba) zinawaka moto au maumivu yanafanana na kidonda km kimewekwa ndimu
8*je huwa unahisi maumivu kwenye kibofu yaan kibofu km kinawaka moto mitihili kidonda kilichowekwa ndimu
9*ukimaliza kukojoa huwa unahisi ahueni kubwa kwenye kibofu mpk ureta ambayo udumu kwa muda mchache
10*je kiasi cha mkojo huwa unatoa kwa wingi kutokana ns kukuuma kwa kasi au ni kwa uchache mkojo wa asubuhi huwa unakoa kwa uchache pia
11* je hilo tatizo tangu limekuanza lina muda gani ?
12* swali la mwisho je imefikia hstua unaogopa kunywa maji mengi kuhofia mkojo?

Mimi mkuu ni number 4,6,7,8,9,10

Ila mimi mpaka ninywe maji mengi na huwa inakuwa sana kama nikinywa bia.

Wenzangu wanaweza kuka hata bia ya 3 ila mimi ya kwanza tu tayari na hapo mpaka inakuwa kero.
 

malembeka18 mkuu mimi niliwahi kuumwa na tatizo linalohusiana na mkojo miaka ya nyuma, nilihangaika sana bila ya mafanikio, nilimaliza vipimo vyote hakuna kilichoonekana, nikabakisha hicho kipimo unachokisema, ila Doctor aliekua ananishughulikia alinishauri nisikifanye mpaka hali itakapofika kuwa mbaya, mana ukikifanya kitakutia obovu wa maisha. kwa kweli sikikufanya.

Nilikuja kufanikiwa kupowa tatizo langu kwa njia za asili baada miezi kadhaa mbele.
Ulinitumia njia gani mkuu
 
Jaribu pia kupunguza gharama, ulishawahi kunitajia gharama ya dawa ya pumu nilichoka mwenyewe.

Nashukuru Mungu mwanangu amepona kwa gharama nafuu.

Madam Demi , PUMU kwa watoto ni changamoto inayosumbua wazazi wengi sana kwenye jamii.

Nadhani si vibaya ukishea hapa hiyo TIBA iliyoponesha PUMU kwa mtoto wako. Wanajf wanufaike.

-Kaveli-
 
Wakuu Leo nimeleta mrejesho wa tatizo langu la kukojoa Mara kwa mwara na kupata mkojo Tena kila napomaliza kukojoa baada ya dakika kadhaa nabanwa Tena na mkojo yaan kiufupi mkojo hausishi.

Wakuu nilifuata ushauri wenu nikafika Muhimbili kitengo cha urology nikamuelezea daktar kila kitu, daktari akaelekeza nikafanyiwe vipimo vya damu,ultrasound na mkojo.

Majibu yaliyotoka ya vipimo ya sina ugonjwa wowote na wakati nafanyiwa kipimo Cha ultrasound nimemaliza wakanambia kakojoe uje tuendelee kufanya kipimo nilipoenda kukojoa nikakojoa kuumaliza mkojo wote Ila baada ya kurud kuendelea na kipimo wakapima Tena ultrasound wakaona kibofu kina mkojo tena, nikawaambia hilo ndio tatizo langu sasa.

Ikabidi waendelea kuangalia ini ktk mbavu chembe ya moyo koote hawakuona kitu wakasema labda huyu afanyiwe kipimo wakataja kipimo sjui kipimo gani skukielewa walitaja kingereza. Kesho yake nilirudi kwa daktar akanisomea majibu akasema majibu yanaonyesha hakuma chochote tezi dume iko sawa ndogo Sana pia kibofu kipo sawa pia figo ziko sawa pia nakipimo Cha damu kipo sawa.

Dokta akanambia inabid Sasa labda ufanyiwe kipimo cha kupitisha kifaa ktk tundu la njia yamkojo mpaka katika kibofu kuangalia kuna nin shida hapo...kiukweli mimi niliwazaaa hili lakupitisha kifaa katika njia yamkojo nkaogopa ikabid nimfiche daktari kuwa kwasasa sinapesa yakopimo mpaka baada miezi mitatu ikizingatia naishi mkoani basi daktari akawa kaniandikia nirudi mwezi wanne kwa ajili ya hiko kipimo
Wakuu huu ndio mrejesho wangu je kipimo hicho nilichoandikiwa je ni salama kweli kwa afya ya uume wangu na njia pia ya mkojo.
Kipimo kitaalam kinaitwa urethrocystoscopy
Kinatumia waya mwembamba wenye diameter mithili ya ule mpira wa kukojolea (urine catheter)
wenye camera kwa mbele na kinachochukuliwa kwenye camera kinakuwa displayed kwenye screen kubwa

Madhara ya kipimo;kuleta michubuko kwenye njia ya mkojo ambapo hyo michubuko inapopona inaacha makovu ambayo yanaweza kuziba njia ya mkojo hapo baadae

Ushauri;tumia dawa kwanza
Endapo dawa hazitoleta matokeo chanya ndipo ufanye hicho kipimo
 
Madam Demi , PUMU kwa watoto ni changamoto inayosumbua wazazi wengi sana kwenye jamii.

Nadhani si vibaya ukishea hapa hiyo TIBA iliyoponesha PUMU kwa mtoto wako. Wanajf wanufaike.

-Kaveli-
Siijui kwa jina..nilipewa na mzee mmojq kutoka Mombo. If interested nikupe namba yake
 
Mkuu Pole sana kuhusu hicho kipimo cha kutia katika tundu la dushelele lako hakina ubaya. Nikuulize swali unakuw amtu mwenye mawazo sana? na ninahisi utakuwa na maradhi yanayotokana na mambo ya giz aikiwa vipimo vyote umepima na hakuna maradhi yaliyo onekana basi utakuwa unayo maradhi ya kichawi . Ushauri wangu pia jaribu utibiwe na dawa zetu za asili ili uweze kupata kupona ikiw aunaogopa kutiwa kipimo katika dushelele lako.
...Jaribu kuacha kunywa Maji au Kimiminika chochote kuanzia saa Tisa Alasiri uone Hali itakuwaje. Pole Sana.
 
Mkuu Nina tatizo kama la kwako kil ulichoandika hapa..tafafhali Kama umepata matibabu nishauri na Mimi niende wapi mwenye tiba
 
Back
Top Bottom