Mrejesho: Nipo njia panda

Mrejesho: Nipo njia panda

Pole sana.Time heals yaani mwambie tu ukweli kuwa you are too expensive to be her mchepuko.Mtakie maisha mema na wewe pia move on utapata mwingine wanawake wapo wengi tu na wengine bado wanazaliwa.
 
Mkuu pole sana, ningeshauri uachane naye, ila usimuache hivi hivi, jifanye mchepuko endelea kula mzigo wakati huo huo ukikata huduma kwake, ikiwezekana.. anyways ngoja niishie hapa
 
Sio issue Kubwa mbona. Mm hakuna mwanamke ataeniharibia furaha yangu.
We mpotezee tu kimya kimya
 
Eti uwe mchepuko wake?? Aiseee kwamba anakusaidia au?? Mwache aende sio mwisho wa maisha life has to goes on
 
Hahah,mkuu ndo ukubwa huooo,pole sana,hakika utakuwa strong sasa,amini utapata msichana wa maana zaidi,unachotakiwa kufanya ni kukubali kuwa mchepuko wake wakati huohuo tafuta mtu wako wa kudumu naye,endelea kuwa naye,then ukishapata mtu wako mpige chini kama alivyokufanya wewe
 
Pole sana.Time heals yaani mwambie tu ukweli kuwa you are too expensive to be her mchepuko.Mtakie maisha mema na wewe pia move on utapata mwingine wanawake wapo wengi tu na wengine bado wanazaliwa.


Ahsante sana Victoire,pia shukrani sana kwa ushauri wako
 
Hahah,mkuu ndo ukubwa huooo,pole sana,hakika utakuwa strong sasa,amini utapata msichana wa maana zaidi,unachotakiwa kufanya ni kukubali kuwa mchepuko wake wakati huohuo tafuta mtu wako wa kudumu naye,endelea kuwa naye,then ukishapata mtu wako mpige chini kama alivyokufanya wewe

Ahsante sana mkuu,shukran kwa ushaur wako
 
Siku moja utayasahau yote ndugu!

Wewe si wa kwanza kutendewa hayo. Ila kumbuka mke mwema hutoka kwa Bwana, omba utapewa.
 
Move on boy ....achana naye..tafuta mwingne uzuri ni kwamba wapo wengii tu me mwanzoni sikuhamin kama nitakuja mpata mwingne kama yule but leo hii nimempata zaid ake na wala sina shaka kwenye hilo
 
Nimeskia hasira ila ndo hivyo tena. Hivi wasichana tuna matatizo gani? Kwa nn kabla hujawa na no less usivunje mahusiano ya nyuma? Kwa nn?

Jamani mahusiano nayapenda ila sijawahi muumiza mtu.kiasi hiki,? Mwaka na nusu? Tuwe na huruma sometimes.
 
Mambo ya mapenz uamuz ni wako mwenyewe.... Ndo unakomaa taratibu
 
Pole sana mtu kama huyo anaweza ata kukuua aisee we ungemchana tu skuileile
 
Huyo binti hakufai tena na wala siyo mstaharabu utapoteza muda wako mwache aende zake we usimwambiye kitu ,hatajileta yakimshinda tu itamwona anakutafuta sasa ndio itakuwa zamu yake kumblock
 
daaaah. pole sana... japo inauma piga moyo konde chonde chonde isikirupuke kujiingiza kwenye mahusiano mpaka moyo wako upoe. shukuru mungu amekuoneshaapema kwamba jakufai
 
Back
Top Bottom