Mrejesho: Nini sababu ya kuwa mkali ghafla

Me too

JF-Expert Member
Feb 9, 2015
7,340
9,225
ASANTENI MMU MEMBEr kwa michango YENU MUNGU AWABARIIKI. hivi sasa niko bize na kuwatafta wanasaikolojia ila nimeonana na DK T 1 kanipa maelezo mazuri sana ila tu swwali kkwenu wana MMU! ukido sana huwa unadhibiti homon za hasira?
"*-""%%"goodbye its ma last thread$%%**---
 
Somehow kugegedana kunaondo stress na kuleta furaha ya ndani(EUPHORIA), hivyo ni vigumu sana kupatwa na hasira ukiwa na furaha.
 
Yeah inasaidia.Inakufanya akili na mwili vitulie. Ila ni muhimu ukakojoa otherwise utaongeza stress
 
Katika thread yako ya mwanzo niliandika, fanya ngono coz inasaidia sana kuondoa msongo wa mawazo.

Wewe ulikuja na matatizo ya "kupata ajira serikalini...aka dream job", usijue wapo watu wana miaka wanazunguka na vyeti vyao.

Naamini stress zako kwa kiasi kikubwa hufikishwi eldoret. Have sex and enjoy it.
 
Katika thread yako ya mwanzo niliandika, fanya ngono coz inasaidia sana kuondoa msongo wa mawazo.

Wewe ulikuja na matatizo ya "kupata ajira serikalini...aka dream job", usijue wapo watu wana miaka wanazunguka na vyeti vyao.

Naamini stress zako kwa kiasi kikubwa hufikishwi eldoret. Have sex and enjoy it.
ok i got you sir
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom