Habari wana JF.
Wapendwa mwaka jana nilitoa uzi wa kutafuta mchumba, na nashukuru Mungu walijitokeza wengi wenye na wasio na vigezo, wengine waume za watu(wonders never seize)
Nilifanikiwa kumpata mmoja aliyekidhi vigezo na tukaanzisha urafiki hatimae uchumba, na kwakweli he is such a wonderfull man, namshukuru Mungu kwa hilo sana.
Kwa neema ya Mungu ndoa ni Februari mwakani.
Hivyo niwatie moyo wale wanaotafuta, ila kuweni makini tu maana katika msafara wa mamba, kenge hawakosekani.
Shukrani JF.
Wapendwa mwaka jana nilitoa uzi wa kutafuta mchumba, na nashukuru Mungu walijitokeza wengi wenye na wasio na vigezo, wengine waume za watu(wonders never seize)
Nilifanikiwa kumpata mmoja aliyekidhi vigezo na tukaanzisha urafiki hatimae uchumba, na kwakweli he is such a wonderfull man, namshukuru Mungu kwa hilo sana.
Kwa neema ya Mungu ndoa ni Februari mwakani.
Hivyo niwatie moyo wale wanaotafuta, ila kuweni makini tu maana katika msafara wa mamba, kenge hawakosekani.
Shukrani JF.