My god win
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 361
- 239
Habari zenu,
Naomba niwashukuru kwa michango yenu katika uzi wa Nimekata tamaa ya kuolewa, wenzangu wote wameolewa wote ambao mlishiriki nami kwa njia moja au nyingine, kunishauri na kunifariji.
Maamuzi niliyochukua ni kwamba nimeamua kuwa single, na wala sihitaji mahusiano na mwanaume yoyote kwa kipindi hiki, bali nitaongeza juhudi zaidi kumwomba MUNGU.
Nisijetena dumbukia kwenye mahusiano ambayo hayana msimamo na malengo.
ANGALIZO
Sihitaji PM ambazo zisizo na maana. Labda kwa ushauri tu na si mengineo.

.
Asanteni.
Naomba niwashukuru kwa michango yenu katika uzi wa Nimekata tamaa ya kuolewa, wenzangu wote wameolewa wote ambao mlishiriki nami kwa njia moja au nyingine, kunishauri na kunifariji.
Maamuzi niliyochukua ni kwamba nimeamua kuwa single, na wala sihitaji mahusiano na mwanaume yoyote kwa kipindi hiki, bali nitaongeza juhudi zaidi kumwomba MUNGU.
Nisijetena dumbukia kwenye mahusiano ambayo hayana msimamo na malengo.
ANGALIZO

Sihitaji PM ambazo zisizo na maana. Labda kwa ushauri tu na si mengineo.
.Asanteni.
