Mrejesho! Natafuta mdada msabato

Kaka mchumba
Bwana mdogo mchumba hatafutwi kama mganga
 
du aya maono ya mtandao hatare, huwaoni makanisani, kongamano, au hata unapoishi hawapo wapendwa? huku utaumia tu.
 
hilo
umelijua leo???????? si KE au ME wote humu ni masimba yaliyo shiba utapeli hadi kuvimbiwa.......... POLE MEMBER ndo ukubwa huo.
 
Wengi hawako sirias wanaleta maigizo kwenye maisha
 
Hyo ya nyanda za juu kusin nayo ni ya. Kwel au moja ya mitego yako? Bora nafs yako iliamua kujirdhsha mapema before kuingia kwenye mahusiano
Kama ingekuwa mitego si ningeitumia na tyr ningewapata!!
Usiwe na fikra hasi mara nyingine uwe unajiongeza
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…