Mrejesho: Natafuta girl friend

Mrejesho: Natafuta girl friend

Sina mbavuuuuuu daahh kweli mjini mipango, izo picha sio zake kachukua tu mtandaoni kukuzuga mda mwingine kua makini zaidi poleee
 
BILGERT=Kaveli...humu jamvini kuna vituko aseeeee!!!
 
Last edited by a moderator:
Mh..kama yumo humu ngoja tumsubr auone huu uzi, aseme kitu!!
 
Huyo Dada kutumia style ya kitoto kukutapeli subiri waje wataalam mwenyewe utakoma afu urudi kituletea mrejesho maana naona una hamu ya kutapeliwa ww
 
Yeye miaka 20 ww 24 anakufananisha na Baba yake mzazi,Shuwaini kabisa yaani Baba yake kamzaa akiwa na miaka4,Dot kom kweli wazimu wa kujitakia..
 
Afadhali umeleta mrejesho,vidudu dinda wengine wapate somo,maana siku hizi matapeli wa hivyo wamekuwa wengi sana,hasa facebook,ni wanaume wanatumia picha za warembo kukuingiza mjini
 
Mkuu vipi hiyo 30 unaweza kuituma kwangu nikakuopolee kitu kizuri chenye digrii mbili pale Ambiance?
 
Humu hakuna wanawake wema. Wachunaji tu ndio utakao pata.
 
Pole mjamaa!
Usikate tamaa wako yupo tu na utampata kwa wakati husika
 
Kiongoz Kwa Nin Umeamua Kutumia Aproach Kama Hii? Na Kama Unafanya Kazi Kwenye Sekta Ya Afya Na Umeshinwa Kupata Gf Je Hao Wagonjwa Unawahudumiaje? Na Kama Madem Wa Kitaa Wamekushinda Wa Jf Utawaweza?
 
Du! Kweli wanawake wengine matapeli sana aisee,bt ucjar kaka naaamin Mungu kakuandalia wako tu ambaaye utafurahia uwepo wake kwako
 
Love at such a young age, someni kwanza jamani, tengeneza maisha, love will follow afterwards
 
Yani hapo ungepigwa hela vibaya. Na kama angekubali kuonana na wewe basi lingetengenezwa fumanizi.
 
Billgate.. ahahahahaha
Umenikumbusha mbali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom