Nipo mimi niko kwenye around 40sNakushauri kuwa utakapokuwa na uhitaji wa mwanamume....tafuta ambaye ameshamaliza ujana....
Nipo mimi niko kwenye around 40s
Hongera kwa kuwepo
Ndo maisha yalivyo ndugu yangu sio fair kabisa. Unakuta wanaume wastaarabu hatupati wanawake wanaojielewa na sisi tunaangukia kwenye wabovuWee acha tu! Sidhani kama naweza taka mwanaume tena
Huyu mtoto ni attachment ya kinafsi kati ya watu wawili. Kwa kuwa mmeshaazimia kumfungia vioo kifamilia na kama mazingira yanawaruhusu ni bora mhakikishe huyo mdogo wako anaishi mbali naye na mwanaume asijue chochote kuanzia afya ya mimba mpaka mtoto kama atazaliwa. Otherwise, kuna hatari ya kuja kukuta mmetwanga maji kwenye sandarusi.Kutoa mimba ni mauaji ya kiumbe kisicho kuwa na hatia, isitoshe ni kinyume na sheria za nchini pia ni dhambi mbele za Mungu. Kwahiyo hatatoa
Duuh! Kumbe dogo kaku overtake, kwani mko kwenye ndoa miaka mingapi? Labda na hilo la kuchelewa kuzaa lilichangia.Kweli kbsa nashukuru kwa kutokuwa na watoto maana ingekuwa kitanzi cha ukweli
[emoji3][emoji3][emoji3] miss chagga umetisha ndaoKweli ndoa za siku hizi ni majanga aisee loh.... Anaona sawa tu kudadeki alitakiwa apigwe kipepsi cha mdomo ha ha ... Pole Mae ma'am Uzi yako ni muhimu zaidi ili upate furaha ya moyo wako
Mume wa huyu ndiye aliyeanza kuleta hiyo habari humu tunajua pande zoteHiyo ni story ya upande mmoja
Kama Mr wako angekuja humu kujitetea, wengi tungeweza kubadirisha hukumu na wewe kuwa mwenye hatia.
Kuita ndugu zako/zake na wachungaji ni kosa kubwa ambalo siku ukituliza akili utanielewa ninachokisema hapa.
Siku hizi kina dada hasa hawa waliokaa darasani kidogo ni shida ktk mahusiano..kelele/ujuaji/ ligi nyingi ndani ya nyumba bila kujua ndio chanzo cha matatizo makubwa zaidi ndani ya mahusiano/ndoa.