Mrejesho: Mume wangu amempa mimba mdogo wangu

Mrejesho: Mume wangu amempa mimba mdogo wangu

Asante sana
Pole sana nadhani huyo mumeo tyr kashaona ndoa yenu haina maana tena, hapo kaongea kwa hasira kama defensive strategy kwakuwa ashaona yeye ni failure.
Tena hayo majibu aliyotoa ni matokeo ya fikra na mtazamo pengine na experience aliyokuwa nayo kabla hajakusaliti. Tena huenda kuna mambo hayakuwa sawa ktk ndoa yako na yalipelekea yeye kwenda kinyume.
Nimeshasema mara nyingi na narudia kusema ili wote tujifunze, kwamba hata kama unampa mke/ mme wako kila kitu kama humfanyi ajione kuwa yeye ni mwanamke/ mwanamme basi penzi/ ndoa haliwezi kudumu.

In fact the man is psychologically distorted and no more you can do to save him. Kuitwa kikao nakuendelea kumtuhum kunamfanya aonekane kuwa criminant na yeye lazima ajitetee kwa kuwakera wengine wanaomkera zaidi, yaani kama mbwai iwe mbwai tu.

Biblia inasema huwezi kumwacha mwanamke/ mume kwa sababu yoyote ispokuwa kwa uasherati tu, hii inaonesha jinsi uzinzi ni dhambi isiyovumilika hata kwa Mungu.

Achana na ndoa hiyo haikufai tena hata mngesuluhisha still the value of marriage was contaminated already.

Kuhusu kupambana naye, hiyo ni mikwala inayotokana na hasira, denial phase, baada ya hapo atatulia na ataona guilty ya kosa lake.

Pole kwa hayo machungu, sasa pull your right strings a dream life of yours is near.
 
Kweli ndoa za siku hizi ni majanga aisee loh.... Anaona sawa tu kudadeki alitakiwa apigwe kipepsi cha mdomo ha ha ... Pole Mae ma'am Uzi yako ni muhimu zaidi ili upate furaha ya moyo wako
 
Kuna wakati utajutia ulichofanya, maswali yalikuwa ya nini wakati kosa lake linaeleweka? Hakuna malaika unaweza kujikuta unakuta na mwenyewe tabia zaidi ya izo.
 
Pole na kila la kheri katika maisha mapya... Angalau sasa mme wako ataitwa baba. Tatizo nyie wanawake mnaolewa eti mnajifanya hamtaki kuzaa sijui mpaka mmalize shule na bla bla kibao... Hii mianya ya matatizo mnaitafuta wenyewe so usimpe lawama kwa asilimia mia, na wewe una sehemu ya lawama katika jambo hili... Cha muhimu, msamehe, jisamehe na u move forward....
 
Unanitisha mpwa

Mpwa hauna haja ya kuogopa wala kuwa na hofu.....kwani ni mambo ya kawaida sana......
Mateso yako kwenye ndoa yanaanzia tangu pale ulipochagua mchumba na sababu zilizokufanya kuingia kwenye ndoa....ukiweka umakini kuanzia hapo basi utakuwa na ndoa yenye furaha na amani tele.....
 
Kuna wakati utajutia ulichofanya, maswali yalikuwa ya nini wakati kosa lake linaeleweka? Hakuna malaika unaweza kujikuta unakuta na mwenyewe tabia zaidi ya izo.
Sina kipya cha kujutia zaid ya kukubali kuolewa na mwanaume mwenye tabia za kifilauni
 
Mpwa hauna haja ya kuogopa wala kuwa na hofu.....kwani ni mambo ya kawaida sana......
Mateso yako kwenye ndoa yanaanzia tangu pale ulipochagua mchumba na sababu zilizokufanya kuingia kwenye ndoa....ukiweka umakini kuanzia hapo basi utakuwa na ndoa yenye furaha na amani tele.....
Sawa mpwa,ntazingatia hilo
 
Pole sana ndo ya dunia hayo! Ila mashemeji nao wanamajaribu sana! Wadada msipende kukaa na wadogo zenu! Mimi mwenyewe nishajikuta natembea na shemeji baada ya majaribu kuzidi baada ya pale nikatumia mbinu zote akarudi kwao na kwa sababu sikushtukiwa ndoa inaamani mpaka sasa
 
Wee acha tu! Sidhani kama naweza taka mwanaume tena
Pole sana, nikirejea uzi wako wa mwanzo naona kama ulichangia sehemu ya tatizo, muhimu si kukataa wanaume, bali kuchukua hili lililokukuta kama changamoto, kosa la mwanaume mmoja usiwa-disco wanaume wote,japokuwa wanaume wote ni kama wamezaliwa na mama MMOJA. kanagalia kisiki ulichojikwaa usawazishe usijejikwaa tena .hata hivyo nakupongeza kwa subira uliyonayo katika kutatua hili suala. Mola ajalie yasije kunikuta haya,
 
Lazima ujifunze kuacha kumsuta mtu ikiwa tayari amekili madhaifu yake aswa mme wako. Nilikwambia kwenye mchango wangu wa awali kwenye post yako ya mwanzo ya kuwa wanaume ni kama mbuzi sisi wanaume kusema ukweli ukituchunguza sana hautataka kuolewa kabisa. Hata hawa unaoona wanakusurpot ni hapa tu lakini ikiwa unataka kumpima mwanaume uwezo wake wa kuvumilia miemko ya mapenz muweke karibu na msichana yoyote mzr akika huo ni mtihani mkubwa sana kwa wanaume. Binafisi uwa naangalia marafiki zangu na ujipima na kuwapima wenzangu naona kabisa wake zao wangejua kinachoendelea lazima ndoa zitavunjika mara moja. Lakini pia ebu fanya utafiti wapenzi siku izi wanawekeana mipaka kwenye simu tena unakuta mtu na mkewe wanawekeana makubaliano eti wasishike simu ya mwenza ivi ili nalo linaitaji mtu aende shule kubaini kuwa wote ni wazinzi.
 
Back
Top Bottom