GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,652
- 14,261
aisee...kwa hiyo mambo flan ndo basi tena kwa muda wooooote huo? uwe makini hizo dawa hazina vipimo si nzuri mnaweza jikuta mnakunywa mnaharisha hadi maini na figo vinatoka. au unatapika hadi moyo kama jamaa yangu mmoja alikunywa hayo mavitu akatapika moyo bahati waliwah kumpeleka hosp na kuurudisha.
nilikuwa najaribu tu kwa vile ni vitu asili ila nimekoma sio kwa kubdeed huko chaaaa!!