Mrejesho muhimu: Madhara ya dawa za kupunguza uzito

aisee...kwa hiyo mambo flan ndo basi tena kwa muda wooooote huo? uwe makini hizo dawa hazina vipimo si nzuri mnaweza jikuta mnakunywa mnaharisha hadi maini na figo vinatoka. au unatapika hadi moyo kama jamaa yangu mmoja alikunywa hayo mavitu akatapika moyo bahati waliwah kumpeleka hosp na kuurudisha.
nilikuwa najaribu tu kwa vile ni vitu asili ila nimekoma sio kwa kubdeed huko chaaaa!!
 
Kwanza napenda sana kuwashukuru wote ambao huwa mnanitia moyo katika safari yangu ya kupunguza uzito. Katika shauri nilizopata kuna mdau alikuja PM akaniambia nichemshe giligilani ninywe kila asubuhi na wakati wa kulala ndani ya siku moja nitapungua kilo tano.

Kweli nilifanya hivyo siku ya kwanza kweli nilipungua kilo moja siku ya pili kilo moja. Usiku wake sasa nikaanza sana kuumwa na tumbo na kichwa .tumbo lenyewe likawa linauma kama la period. Hazikuwa tarehe zangu ilikuwa kama bado week moja hivi kwahiyo nikajua labda ni ovulation
asubuhi nikakuta hali sio hali yaani duka la always limehamia kwenye pochi yangu jamani nitaishiwa damu mimi nifanyeje.

Nawashauri wajawazito wakae mbali na hili jani ndo lililoniletea majanga

View attachment 526945
Pole sana ndugu daaa.... wataalamu waje jaman hali si shwari...
 
aisee...kwa hiyo mambo flan ndo basi tena kwa muda wooooote huo? uwe makini hizo dawa hazina vipimo si nzuri mnaweza jikuta mnakunywa mnaharisha hadi maini na figo vinatoka. au unatapika hadi moyo kama jamaa yangu mmoja alikunywa hayo mavitu akatapika moyo bahati waliwah kumpeleka hosp na kuurudisha.
acha fix moyo?
 
kupunguza uzito na unene si kazi ndogo inabidi ujitoe kweli....achana na madawa..fanya zoezi...nilikuwa na kilo 90...mwili nyumba....ukiniona sasa unaweza kukataa


Mkuu, tupe mrejesho ulifanyajefanyaje name Sisi tupungue, kilo zangu zip humo ulipokuwa were,naamini utakuwa Msaad mkubwa Sana kwangu Kama hutojali mkuu
 
Kwanza napenda sana kuwashukuru wote ambao huwa mnanitia moyo katika safari yangu ya kupunguza uzito. Katika shauri nilizopata kuna mdau alikuja PM akaniambia nichemshe giligilani ninywe kila asubuhi na wakati wa kulala ndani ya siku moja nitapungua kilo tano.

Kweli nilifanya hivyo siku ya kwanza kweli nilipungua kilo moja siku ya pili kilo moja. Usiku wake sasa nikaanza sana kuumwa na tumbo na kichwa .tumbo lenyewe likawa linauma kama la period. Hazikuwa tarehe zangu ilikuwa kama bado week moja hivi kwahiyo nikajua labda ni ovulation
asubuhi nikakuta hali sio hali yaani duka la always limehamia kwenye pochi yangu jamani nitaishiwa damu mimi nifanyeje.

Nawashauri wajawazito wakae mbali na hili jani ndo lililoniletea majanga

View attachment 526945
Mimi kila siku nina lila hilo jani la Gilgilani na halinidhuru wewe ulitaka upunguwe uzito kwa haraka ndio maana likakudhuru. Unataka kujimaliza wewe mwenyewe kwa kupewa ushauri na mtu asiye na elimu.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom