Bralicom
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 572
- 391
Ndo hapo hapo mwenge na mi niliwaonaMkuu ulikua Bar gani...? Calabash au...?
Kama niliwaona hivi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo hapo hapo mwenge na mi niliwaonaMkuu ulikua Bar gani...? Calabash au...?
Kama niliwaona hivi.
Nasikia kuna kitabu zamani kilikuwa kinaitwa hadhithi za bonuasi kitu kama hicho!
Tulionaswa twajuwa, hata tukimshauri hatatuelewa, wache naye aingie kichwa kichwa kama sisi, tulinaswa hivyo hivyo, tena kwa vinono zaidi ya hivyo..Ndege mjanja hunaswa kwenye Tundu bovu. Itafakari saana kauli hii....