Mrejesho: Mboga yangu ya jana

Mrejesho: Mboga yangu ya jana

Hapo ulipomalizia hapo...ndio palibeba ajenda ya kila kitu,kuwa makini boss.

Sent From fx.991
 
Huyo mdada ana akili sana ujue umeshaingia mazima anajua gharama zake zote zitarudi mara kumi mkuu mimi nipo uendelee kutuletea episode zinazofuata
 
Jiamini mkuu, chukua mzigo huo, angalizo...kila mtu akae kwake huku ukimfanyia U FBI....
 
Huwa sio rahisi kiasi hicho mzee....huyo atakua wale wa,haolewi haolewiiii....
 
Afya huwa mnakumbuka kucheki? Tutawapoteza wengi kizembe
 
Nimeusoma Uzi wako na nimegundua yafuatayo;
1.Wakati huyo mwanamke anawaza mapenz ww unawaza revenge (kumkomoa)
2.Ukimpa fedha yako unahisi kama umepoteza
3.Huna imani na huyo mwanamke pia,hata ww hujiamini!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu uko sahihi namba 1&2. Hili zigo nilikuwa nimempa jina la ngedere maana virungu vyake grade1 yaani tarakimu5 ila jana kaniacha hoi asee..ninawaza sana hapa
 
Back
Top Bottom