deebo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 353
- 229
Katika kitu kinacho telemsha confidence ya watu ni hizo porno.. kibaya zaid unakuta mtu anataka kua kama flani anae muona.. Tamaa ya watu kutaka kua kama watu wanao waona ndio secret business ya uuzaji wa hayo madawa..
Kumbuka kila mwanaume ni wa aina yake. badala ya kutaka kua kama flan tumia vizur resource ulionayo.. jiamini.. nashangaa sana watu wenye vinavyoitwa vibamia wanavyo nywea na kuwa dhaifu ki saikolojia..
Kumbuka kila mwanaume ni wa aina yake. badala ya kutaka kua kama flan tumia vizur resource ulionayo.. jiamini.. nashangaa sana watu wenye vinavyoitwa vibamia wanavyo nywea na kuwa dhaifu ki saikolojia..