Mrejesho Kuhusu Greenhouse!!!

Mrejesho Kuhusu Greenhouse!!!

Kwenye Foreign currency exchange rates {Forex} watapasuka mapema tuuuuuuuu. Maana kukaa kutegemea pesa idondoke au ikue ni zaidi ya kamali ya KUBETI. Yaani wakuu tuache blaa blaaa tufanye kazi. Hii shoti kati inatuponza na kutupotezea muda
Leo Dola imepanda kesho imedondoka
Hiii inakumbusha chuoni, washkaji full kubeti kwa muhindi mpaka Semister 2 zinaisha watu hata nguo za kuvaa zimekwisha na usoni kapauka kwa sababu ya kubeti.

Sema nini, changamoto iliyopo apa mjini uwezi Kufuga wala kulima, kwa watu waliopo apa mijini kwa iyo kipato kinapatikana kwenye ujanja Ujanja wa kucheza kamali na kuwa dalali kwa kifupi ni Utapeli Utapeli tuuu na Kingine ndio biashara za Madawa ya Kulevya
Apa mjini changamoto sana, ni kama kwenye usaili wa TRA watu elfu 30. Yaani changamoto sana
Tumezaliwa ilala nyumba za Kota. Uwezi Kufuga chochote zaidi ya Kufuga njiwa. Mungu tunusuru vijana wa mjini, hali ni ngumu sana
Mkuu cheza BIKO na TATU MZUKA HUWEZI.ahhaahaa...ahhaa
 
Jirani yangu apa kauza guta zake(toyo) mbili arejeshe pesa aliyokopa kulimia matikiti, jamaa aliingia gharama kama M3 iviii kilichomkuta hata umwambie kuna mbegu za dhahabu ukipanda unavuna dhahabu hatokaaa akuelewe.

driller⛏⚒
Duh!!!
 
Kwenye Foreign currency exchange rates {Forex} watapasuka mapema tuuuuuuuu. Maana kukaa kutegemea pesa idondoke au ikue ni zaidi ya kamali ya KUBETI. Yaani wakuu tuache blaa blaaa tufanye kazi. Hii shoti kati inatuponza na kutupotezea muda
Leo Dola imepanda kesho imedondoka
Hiii inakumbusha chuoni, washkaji full kubeti kwa muhindi mpaka Semister 2 zinaisha watu hata nguo za kuvaa zimekwisha na usoni kapauka kwa sababu ya kubeti.

Sema nini, changamoto iliyopo apa mjini uwezi Kufuga wala kulima, kwa watu waliopo apa mijini kwa iyo kipato kinapatikana kwenye ujanja Ujanja wa kucheza kamali na kuwa dalali kwa kifupi ni Utapeli Utapeli tuuu na Kingine ndio biashara za Madawa ya Kulevya
Apa mjini changamoto sana, ni kama kwenye usaili wa TRA watu elfu 30. Yaani changamoto sana
Tumezaliwa ilala nyumba za Kota. Uwezi Kufuga chochote zaidi ya Kufuga njiwa. Mungu tunusuru vijana wa mjini, hali ni ngumu sana
 
Du sitaki kukumbuka hiyo kitu ya kilimo cha Matikiti.unajua zilikuwa ni hesabu zilizopigwa na watu ambao sio "agrobusiness expert".kweli kama kamali vile kuna walio piga fedha na kuna waliofilisika mbaya .kuna watu sasa hivi wanahangaika na marejesho kwenye saccos kwa fedha walizofukia chini.kiliml hakitaki pupa
umeongea vyema... kilimo hakitaki pupa, then kilimo kinahitaj nn instead?
 
Kwenye Foreign currency exchange rates {Forex} watapasuka mapema tuuuuuuuu. Maana kukaa kutegemea pesa idondoke au ikue ni zaidi ya kamali ya KUBETI. Yaani wakuu tuache blaa blaaa tufanye kazi. Hii shoti kati inatuponza na kutupotezea muda
Leo Dola imepanda kesho
imedondoka.
Hiii inakumbusha chuoni, washkaji full kubeti kwa muhindi mpaka Semister 2 zinaisha watu hata nguo za kuvaa zimekwisha na usoni kapauka kwa sababu ya kubeti.

Sema nini, changamoto iliyopo apa mjini uwezi Kufuga wala kulima, kwa watu waliopo apa mijini kwa iyo kipato kinapatikana kwenye ujanja Ujanja wa kucheza kamali na kuwa dalali kwa kifupi ni Utapeli Utapeli tuuu na Kingine ndio biashara za Madawa ya Kulevya
Apa mjini changamoto sana, ni kama kwenye usaili wa TRA watu elfu 30. Yaani changamoto sana
Tumezaliwa ilala nyumba za Kota. Uwezi Kufuga chochote zaidi ya Kufuga njiwa. Mungu tunusuru vijana wa mjini, hali ni ngumu sana
Pole sana! Tens sana.
Umeandika kwa sikitiko kweli.
Hii nchi ni kubwa, ukipata mtaji na hela kidogo ya kuanzia maisha hamia shamba
 
Greenhouse itaendelea kuwa njia sahihi ya kilimo. Nchi kama Izrael inazalisha mbogamboga jangwani kuliko nchi yoyote Ulaya kwa mifumo hii ya greenhouse. Tatizo kubwa la kilimo chetu hapa TZ ni soko la uhakika,
 
Kil

kilimo cha viazi lishe,mbegu 1inauzwa sh 60.Ukilima vizuri kwa ekari unapata milioni 20,ndo habari ya mjini.Hivyo wanaonufaika ni wafanya kampeni na organization zao.
ebu fafanua "ukilima vizuri " unamaanisha nini
 
Kil

kilimo cha viazi lishe,mbegu 1inauzwa sh 60.Ukilima vizuri kwa ekari unapata milioni 20,ndo habari ya mjini.Hivyo wanaonufaika ni wafanya kampeni na organization zao.
MKUU NAITAFUTA HIYO MBEGU YA VIAZI LISHE INAPATIKANA WAPI? MIMI NIPO DODOMA MJINI
 
Kilimo Kinahitaji
1)Uuguzi na maarifa sahihi
2)Kinahitaji umakini na Focus
3) Kinahitaji Mtaji -Long term Financing.
Ukisikia zao,unajifunza kuanzia Soko, gharama za Uzalishaji,risk nk..
Kwa bahati mbaya saliva debe wengi hata Shamba hawajui look wapi!Wadau wengi ni madalali.
 
Kuna kipindi humu jukwaani habari za Greenhouse zilitrend sana na kupelekea watu kuwa na matumaini makubwa kulingana na hesabu za mamilioni zilizokuwa zinapigwa!

Hapa karibuni zimeibuka habari za forex na watu wamepata mihemko kweli kweli kama ilivyokuwa kwenye GH, Swali langu je kuna watu walifanya project ya GH? Kama walifanya maendeleo yakoje? Je wale wahamasishaji maarufu wako wapi!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Miradi ya GH sio miradi ya mtaani ai ya kiswahili au ya kufanywa na watu wasio makini. Sio sawa na kuuza mkaa au kokoto. Kuna mambo kadhaa yatatakiwa kuzingatiwa. La msingi lzm upate ushauri wa mtaalama hasa wa kilimo na anayeijua technolojia hyo. Mfano akushauri upimwaji wa ardhi husika, kama una kisima basi hata hayo maji yakapimwe ili kuona kama yana ubora wa kufaa kwenye mradi wa GH. Usidhani maji yeyote yanafaa lahasha. HG bado utabaki kuwa mradi mzuri sana kiuzalishaji. Tatizo liwe upande wa pili wa SOKO labda.
 
Back
Top Bottom