haidari al ibadi
Member
- Dec 5, 2015
- 6
- 4
Wadau,
Jana niliwaeleza kuhusu jipu moja linalohitaji kutumbuliwa
Jipu hilo ni msichana wangu ambae amepiga u turn ghafla na kuamua kuolewa na mwingine, akisahau kuwa mimi najua siri yake ya kughushi vyeti.
Baada ya ushauri wenu nimefikia hitimisho la kumchomea kazini kwake kuwa anatumia vyeti feki kwa sababu zifuatazo;
(1) Mimi sio muumini wa ile slogan ya kwamba " Mungu atanilipia tu"" mimi ni muumini wa ile slogan ya titi for tati, huwezi kumtendea mtu ubaya ukategemea yy akutendee mema.
(2) Nimejiridhisha kuwa sina hatia yoyote katika dhambi hiyo kwa kuwa nilitoa fedha tu ambapo mtu anaweza kuomba fedha anachokwenda kufanyia ni juu yake, yy alipomaliza kazi hiyo alinionesha vyeti hivyo na kunieleza alipotengeneza Basi,
(3) nimeamua kuindikia barua kampuni hiyo from unknown address and source, kuwa whistle blower hakuhitaji ujitokeze, unaweza tu ukaandika hata barua isiyo na jina au email, wawe wenyewe watashughulikia kwa undani
Kampuni kufuatilia cheti feki ni raisi tu, wanapiga tu simu kwenye taasisi husika na kusoma namba ya cheti na majina, kazi inaishia hapo
(4) Kuna waliosema sitafaidika na kitu nikimchoma hasa wanawake, nitafaidika
Roho yangu itakua na furaha na revenge ni sehemu ya Tiba,
Mtu amenifanya na sasa anachekelea then mnasema sitafaidika na kitu?
Nikiacha kusema nafaidika na nn kwa mfano?
Atafukuzwa kazi na kuajiriwa mtu anaestahili, mbona yeye wakati ananifanyia ubaya hakuniweka kwenye consideration? Iweje mimi nimuweke kwenye consideration?
Hatanirudia nisiposema na hatanirudia nikisema, zaidi ya yote hivi kweli naweza mrudia mtu wa namna hiyo?
Nasema hivi nitatekeleza mpango huu soon, labda ajiongeze arudishe hela yangu laki nne na nusu, hapo kwa mbaali tunaweza kutakiana maisha mema, akirudisha naweza kufikiria upya uamuzi wangu ingawa sina uhakika.
Nataka ajifunze, ajutie tabia mbaya ya usaliti, asirudie tena kumfanyia mtu mwingine akafikiri ata get away with it.
Mrejesho huu ni aina ya taarifa kwa kuwa Jana sikujibu chochote kwa yote mliyonishauri.
Jana niliwaeleza kuhusu jipu moja linalohitaji kutumbuliwa
Jipu hilo ni msichana wangu ambae amepiga u turn ghafla na kuamua kuolewa na mwingine, akisahau kuwa mimi najua siri yake ya kughushi vyeti.
Baada ya ushauri wenu nimefikia hitimisho la kumchomea kazini kwake kuwa anatumia vyeti feki kwa sababu zifuatazo;
(1) Mimi sio muumini wa ile slogan ya kwamba " Mungu atanilipia tu"" mimi ni muumini wa ile slogan ya titi for tati, huwezi kumtendea mtu ubaya ukategemea yy akutendee mema.
(2) Nimejiridhisha kuwa sina hatia yoyote katika dhambi hiyo kwa kuwa nilitoa fedha tu ambapo mtu anaweza kuomba fedha anachokwenda kufanyia ni juu yake, yy alipomaliza kazi hiyo alinionesha vyeti hivyo na kunieleza alipotengeneza Basi,
(3) nimeamua kuindikia barua kampuni hiyo from unknown address and source, kuwa whistle blower hakuhitaji ujitokeze, unaweza tu ukaandika hata barua isiyo na jina au email, wawe wenyewe watashughulikia kwa undani
Kampuni kufuatilia cheti feki ni raisi tu, wanapiga tu simu kwenye taasisi husika na kusoma namba ya cheti na majina, kazi inaishia hapo
(4) Kuna waliosema sitafaidika na kitu nikimchoma hasa wanawake, nitafaidika
Roho yangu itakua na furaha na revenge ni sehemu ya Tiba,
Mtu amenifanya na sasa anachekelea then mnasema sitafaidika na kitu?
Nikiacha kusema nafaidika na nn kwa mfano?
Atafukuzwa kazi na kuajiriwa mtu anaestahili, mbona yeye wakati ananifanyia ubaya hakuniweka kwenye consideration? Iweje mimi nimuweke kwenye consideration?
Hatanirudia nisiposema na hatanirudia nikisema, zaidi ya yote hivi kweli naweza mrudia mtu wa namna hiyo?
Nasema hivi nitatekeleza mpango huu soon, labda ajiongeze arudishe hela yangu laki nne na nusu, hapo kwa mbaali tunaweza kutakiana maisha mema, akirudisha naweza kufikiria upya uamuzi wangu ingawa sina uhakika.
Nataka ajifunze, ajutie tabia mbaya ya usaliti, asirudie tena kumfanyia mtu mwingine akafikiri ata get away with it.
Mrejesho huu ni aina ya taarifa kwa kuwa Jana sikujibu chochote kwa yote mliyonishauri.