Mrejesho Interview ya NMB

Mrejesho Interview ya NMB

Assessment Test ilikua Online pale NMB academy GEPF tower-Victoria ilikua fresh tuu lakini si kwa Upande wangu ngoja nikomae kwingine.

Verbal test Maswali 30 halafu unasoma Comprehension Muda Dakika 17. Mi najiona nimeshakua Mzee kumaliza hayo Maswali.


Numerical Test.
Maswali 18 ya hesabu muda ni dakika 17 here I felt I am too old again to finish the race.


MY TAKE SITAENDA KUFANYA INTERVIEW TENA NMB.
Ila inaelekea kwa Institutions kama bank hiyo interview ilikuwa appropriate. Ila kwa vijana was kileo,I am sure it was a hard but to crack.
 
Tatizo Africa hatuangalii Creativity na Personal Skills yani tunafikir mtu kujaza makaratasi ndo anajua kila kitu

Ulitaka wapimeje creativity na personal skill zake labda...kama communication skills 0 na analytical skills 0 pia time management/maximization 0!?????
 
Sijaelewa pale walikuwa wanapima...nini kwa maana...Hata uwe fresh from school huwez solve maswali 18 ya hesabu kwa dakika 14...halafu maswali yenyewe vigongo...

Aujui hesabu itakua, kuna hesabu za kuangalia tu na unaandika jibu
 
Ila wanazingua nilifanyia pale HQ leo hii eti database ya majibu ilizingua ndio tukarudia Tz figisu hatujambo
 
Hongera sana kwa kuitwa kwenye interview wewe ni jembe tunatuma maombi kimya hakuna majibu tunashtukia interview imepita naamini kuwa utakuwa umepata uzoefu naamini kabsa siku nyingine ukiitwa unajuwa jinsi ya kujianda maeneo gani ya muhimu. Don't losing hope
 
bro pumzi imekata,nakuelewa sn mzee umri umeenda tatizo umri sio hatujui
 
Back
Top Bottom