Mrejesho: Haya ni matatizo mbalimbali tuliyoyagundua katika baadhi ya nyumba zenye tatizo la bili kubwa ya umeme

Mkuu acha visirani. Hapa ghetto nikakoishi wadada wakiwepo wikiend umeme unaotumika kwa siku ni ule unaotumika kwa siku tatu wasiposhinda.
Yaani unachokiongea ndo ninachomaanisha. Friji ni umeme, microwave ni umeme, pass ni umeme na hapo hawajaangalia tamthilia mpaka saa tano usiku, vyote ni vya aki na mama.
 
Ndugu yetu ameandika mengi na ushauri ninampongeza Sana kwa Hilo, ninamwomba aendelee kutupatia mengi zaidi ya kheri, Ila ninaongezea kidogo tu kwamba tuangalie matumizi ya Sola jamani gharama Ni chini Sana, pia ikumbukwe kuwa kufikiria kuongeza kipato ili uenjoy life Ni Bora zaidi kuliko kufikiria kupunguza matumizi.
 
Kuna hii kitu inaitwa "earth leakage" nayo inaongeza matumizi ya umeme?

Je, unawezaje kujua kama nyumba yako ina tatizo hilo (earth leakage) na ufumbuzi wake ni upi?
Hapa naulizia hususani pale ambapo "earth wire" pamoja na "earth rod" vipo na vinaonekana vimefungwa kikamilifu (vipo intact)

Nitashukuru iwapo utatujuza.
 
Earthleakage(umeme kuvujia katika earth) pia husababisha matumiz ya umeme kuongezeka kwasababu umeme unaovujia katika earth huishia katika ardhi bila kufanya kazi yoyote.
Hata kama earth rod na waya vipo vizuri bado umeme utapotea tu,kinachotakiwa kiasi cha umeme kinacho vuja kiwe kidogo sana,kama ni kikubwa kifaa kinacho itwa earthleakage circuit breaker lazima kijizime.
Hakikisha unapima continuity kati ya LIVE na EARTH,pia NEUTRAL na EARTH kwa kipimo cha MEGA uone kama ipo katika standard inayotakiwa.
Kama continuity kati ya waya hizo na earth inasoma kwa kiasi kidogo cha MEGA,hakisha unaondoa kwanza tatizo hilo kabla ya kuchimbia vizuri earthrod yako maana badala ya kuondoa tatzo utakua unachochea
 
Habari @The hitman @mng'ato na mtoa Mada yani @Transitor na wengine wote ningependa kujua zaidi kuhusu "Washine Mashine" Nina mpango wa kupangisha single room na nataka kununua washing-mashine ya Kg 7-9 zile za manuall ambayo nataka niwe natumia kufua nguo zangu na pia niwafulie na watu ki bisashara. Je ni wazo baya? ki umeme au maji ama vinginevyo? Mawazo yenu tafadhali.
 
Habari @The hitman @mng'ato na mtoa Mada yani @Transitor na wengine wote ningependa kujua zaidi kuhusu "Washine Mashine" Nina mpango wa kupangisha single room na nataka kununua washing-mashine ya Kg 7-9 zile za manuall ambayo nataka niwe natumia kufua nguo zangu na pia niwafulie na watu ki bisashara. Je ni wazo baya? ki umeme au maji ama vinginevyo? Mawazo yenu tafadhali.
Washing wachine semi-automatic (umeiita manual) kg 7-8 kibiashara haitofaa. Ni ndogo.

Unakadiria kuhudumia nguo ngapi kwa siku? Ukitaja kwa kilo itapendeza (kama utaweza).
 
Washing wachine semi-automatic (umeiita manual) kg 7-8 kibiashara haitofaa. Ni ndogo.

Unakadiria kuhudumia nguo ngapi kwa siku? Ukitaja kwa kilo itapendeza (kama utaweza).
Yeah sorry ni semi-automatic.

Nlitaka kitega uchumi ambapo ntaweza kufua nguo labda 80 kwa siku!
Hapo pia kutakua na mchanganyiko wa mashuka mapazia na ma blanket haya ya kilo 4-6. Kifupi ni nguo za watu wa kawaida nataka kuwafanya kuwa soko langu!
 
Yeah sorry ni semi-automatic.

Nlitaka kitega uchumi ambapo ntaweza kufua nguo labda 80 kwa siku!
Hapo pia kutakua na mchanganyiko wa mashuka mapazia na ma blanket haya ya kilo 4-6. Kifupi ni nguo za watu wa kawaida nataka kuwafanya kuwa soko langu!
Kwa kuwa soko hukua na pia kazi yako ni ya karibu kila siku nashauri chukua kuanzia kg 10 na zaidi.

Washing machine Kg 6-8 itakufanya ufue kwa mafungu sana hivyo umeme, maji, sabuni na muda vitatumika sana na pia utaichosha mashine kwa kuwa utakuwa na miosho mingi kwa siku. Mashine kubwa itakusaidia kuweka nguo nyingi mara 1.

Pia mashine kubwa itasidia sana kuzungusha blanket vizuri litakate. Kumbuka blanket la kg 4 au 5 ni kubwa na ukiweka maji linatuna zaidi hivyo lataka nafasi.

Tafuta mashine ya kampuni nzuri na imara.
 
Asante kwenye matumizi ya umeme unadhani itakua ni la kutisha sana? Ama ipo Reasonable?

Lakini pia makampuni ni yapi hapa Bongo nimeyaona ya von , delta na kampuni ambazo sijawai sikia!
 
Asante kwenye matumizi ya umeme unadhani itakua ni la kutisha sana? Ama ipo Reasonable?
Umeme ni reasonable tu. Nyingi zina hadi 400Watts. Sasa 400W ili umalize unit 1 ni mashine ipige kazi kwa masaa 2.5. Hapo kama utatumia sana ni unit 1 au 2 kwa siku kama nguo ni nyingi sana. Tanesco Unit 1=Tsh 350

Lakini pia makampuni ni yapi hapa Bongo nimeyaona ya von , delta na kampuni ambazo sijawai sikia!
Bongo kuna Delta, Hisense, West point, Boss, LG, Von Hotpoint, Beko n.k. Mimi muuzaji aliniambia karibu yote hapo ni wachina akanishauri angalau Von HotPoint ya waturuki. 10kg tangu Juni 2018 linapiga kazi...kila baada ya siku 1 tunalifulia blanket.
 
Umeme ni reasonable tu. Nyingi zina hadi 400Watts. Sasa 400W ili umalize unit 1 ni mashine ipige kazi kwa masaa 2.5. Hapo kama utatumia sana ni unit 1 au 2 kwa siku kama nguo ni nyingi sana. Tanesco Unit 1=Tsh 350


Bongo kuna Delta, Hisense, West point, Boss, LG, Von Hotpoint, Beko n.k. Mimi muuzaji aliniambia karibu yote hapo ni wachina akanishauri angalau Von HotPoint ya waturuki. 10kg tangu Juni 2018 linapiga kazi...kila baada ya siku 1 tunalifulia blanket.
LG mchina? Ndo kwanza nasikia leo?
 
LG mchina? Ndo kwanza nasikia leo?
Ndio mkuu. Najua ni brand ya Korea kama ilivyo Westpoint ya France. Hizo zote za pale K/koo zinatengenezwa China. Pale K/koo hupati washing machine semi automatic iliyotoka Korea.
 
Umeme ni reasonable tu. Nyingi zina hadi 400Watts. Sasa 400W ili umalize unit 1 ni mashine ipige kazi kwa masaa 2.5. Hapo kama utatumia sana ni unit 1 au 2 kwa siku kama nguo ni nyingi sana. Tanesco Unit 1=Tsh 350


Bongo kuna Delta, Hisense, West point, Boss, LG, Von Hotpoint, Beko n.k. Mimi muuzaji aliniambia karibu yote hapo ni wachina akanishauri angalau Von HotPoint ya waturuki. 10kg tangu Juni 2018 linapiga kazi...kila baada ya siku 1 tunalifulia blanket.
Kuna utofauti gani kati ya automatic na semi_auto? Nina rafiki yangu akiskia kuhusu washing mashine anatamani kulia kwa inavyo kula umeme na maji! Aliokuwa anatumia ni Full-auto . Zina tofauti za watts? Ama ni ufuaji?

Na kuhusu sabuni ya kufulia inakuaje unatumia detergent gani je ni kweli kutengeneza sabuni yako ni vyema zaidi kuliko za viwandani?

Vipi kuhusu maji kwenye hizi semi-automatic zina water inlet je siez chota na ndoo nika miminia tu?

Asante in advance!
 
Kuna utofauti gani kati ya automatic na semi_auto? Nina rafiki yangu akiskia kuhusu washing mashine anatamani kulia kwa inavyo kula umeme na maji! Aliokuwa anatumia ni Full-auto . Zina tofauti za watts? Ama ni ufuaji?

Na kuhusu sabuni ya kufulia inakuaje unatumia detergent gani je ni kweli kutengeneza sabuni yako ni vyema zaidi kuliko za viwandani?

Vipi kuhusu maji kwenye hizi semi-automatic zina water inlet je siez chota na ndoo nika miminia tu?

Asante in advance!
Naomba nirudi kukujibu baadae umeme ukirudi nikichaji simu. Nina chaji 10% tu.
Screenshot_20201228_214134.jpg
 
Kuna utofauti gani kati ya automatic na semi_auto? Nina rafiki yangu akiskia kuhusu washing mashine anatamani kulia kwa inavyo kula umeme na maji! Aliokuwa anatumia ni Full-auto . Zina tofauti za watts? Ama ni ufuaji?

Automatic- hii inakuwa na pipes unaunga kwenye inlet na outlet. Unaijaza nguo, unaipa sabuni na detergent kama unataka. Then unaipa settings. Zipo zitazokafua. Kusuuza. Na kukausha. Ikimaliza inapiga alarm tu unatoa nguo zako unaanika nje kidogo zikauke vizuri. Hapo tegemea ulaji sana wa maji. Umeme inategemea ina watt ngapi na mzigo inaosukuma

Semi-auto- hizi za kawaida tu. Inabidi uwepo kusimamia baadhi ya operations. Inaweza kuwa ma drums mbili kwamba ikishafua uje uhamishe kwenye drum ya kukausha

Bado ulaji wa umeme unategemea na mashine ina watt ngapi na muda wa operation

Mimi kipindi nanunua nilikuwa sina exposure so nikajua mashine yoyote ni automatic. Yangu ni manual ila sijawahi juta. Tangu 2012 mpaka leo ipo fresh. Ni Samsung WT80J8

Nikaja kutana na full automatic daaah nilishangazwa na ile starehe.
JPEG_20201228_215957_5591829964372486077.jpg
 
Automatic- hii inakuwa na pipes unaunga kwenye inlet na outlet. Unaijaza nguo, unaipa sabuni na detergent kama unataka. Then unaipa settings. Zipo zitazokafua. Kusuuza. Na kukausha. Ikimaliza inapiga alarm tu unatoa nguo zako unaanika nje kidogo zikauke vizuri. Hapo tegemea ulaji sana wa maji. Umeme inategemea ina watt ngapi na mzigo inaosukuma

Semi-auto- hizi za kawaida tu. Inabidi uwepo kusimamia baadhi ya operations. Inaweza kuwa ma drums mbili kwamba ikishafua uje uhamishe kwenye drum ya kukausha

Bado ulaji wa umeme unategemea na mashine ina watt ngapi na muda wa operation

Mimi kipindi nanunua nilikuwa sina exposure so nikajua mashine yoyote ni automatic. Yangu ni manual ila sijawahi juta. Tangu 2012 mpaka leo ipo fresh. Ni Samsung WT80J8

Nikaja kutana na full automatic daaah nilishangazwa na ile starehe.
View attachment 1661832
Asante kwa huo mchanganuo! Nimependa uliposema "daaah nilishangazwa na ile starehe."
Hapo nina maswali matatu.
1 Nini kilikua chanzo kikubwa cha kununua mashine ni pesa zipo ama uliona kufua ninkazi?
2 Lakini pia kwenye auto umesema inakula maji je na semi-auto?
3 Ulipitia mchakato gani kuja ku nunua hii? Uliangalia bei au uli ipata tu?



Najua nina maswali mengi ni kutaka kujua tu.
 
Back
Top Bottom