Mrejesho: Forex ya Ontario

84597882c208f8c13f5fee220c40e4de.jpg



We jamaa Wa kuitwa Ontario uendelee kuishi miaka mingi utaacha kumbukumbuku uliotukuka miongon mwa vijana Wa Tanzania kwa kutupatia hii biashara
Nimefanya training TMT Mwanza nikaanza Na mtaji Wa 90$ now naeleka 150 mpaka hii wiki iishe Na project kufika 250$

[HASHTAG]#fornoreason[/HASHTAG] [HASHTAG]#tmt[/HASHTAG]
 
Naomba kama kuna mwanafunzi aliyepata haya mafunzo na yuko Dom tuwasiliane
 
Nakushauri achana na hii kitu...kaka mafunzo ya mwezi mmoja,kuna maguru wa financial market wanaumkza kichwa kila siku hiyo ni field yao wamezaliwa na kukulia Wall Street...we uje ule Pesa kifala tuu...

Nakupa ujanja...na wewe tafuta watu uwatrain urudishe Pesa yako...ama nenda shamba kabla hujajuta zaidi
Naunga mkono hoja
 
Kijana mdogo ONTARIO aliyejizolea jina kubwa na hata kubadili jina lake na kuwa Mkuu na Chief akiiitwa na watu wa rika mbalimbali wazee kwa vijana. Kijana huyu ameleta sauti za matumaini kubwa miongoni mwa watu wengi, binafsi nampongeza sana kwa jitihada alizozionyesha.

Bila shaka mpaka sasa zaidi ya watu 500 watakuwa wamepata mafunzo kutoka kwa kampuni yake ya TMT (The Million Team). Nashukuru kuwa amewahi kuleta ushahidi wa mafanikio hapa jukwaani japo angali kwa watu wachache.

Uzi huu unalenga kuitisha mrejesho huru usiofungamana na UPANDE wa TMT bali uwe huru kwa maana ya kwamba wanufaika wote watupw mrejesho. Bahati nzuri asilimia zaidi ya sabini ni wanachama humu. Natarajia kuwa zaidi ya wanufaika mia tatu wamo humu. Idadi hii ni kubwa sana nilitarajia tuanze kuona thread za members wengi zikibadilika humu kutoka kulia maisha magumu na kulia kwa furaha za mafanikio.

Hebu ninaomba wanufaika wote tuje hapa tutoe mrejesho huru usiopendelea, kama umenufaika au umenusurika. Mrejesho huu pia unaweza kutoa taswira juu ya biashara hii kwa wakati ujao. Kumbuka watu wengi wakiishia kulalamika kwa kuliwa serikali sikivu ikisikia itajua ni utapeli na itafunga, hivyo natumaini pia kuwa mrejesho huu utanufaisha TMT kwa kuchukua hatua za kuboresha ama kuharibu kutokana na ubora kuzidi.

Asante
Majaribu2013
Mtoto wa Ontario.
 
84597882c208f8c13f5fee220c40e4de.jpg



We jamaa Wa kuitwa Ontario uendelee kuishi miaka mingi utaacha kumbukumbuku uliotukuka miongon mwa vijana Wa Tanzania kwa kutupatia hii biashara
Nimefanya training TMT Mwanza nikaanza Na mtaji Wa 90$ now naeleka 150 mpaka hii wiki iishe Na project kufika 250$

[HASHTAG]#fornoreason[/HASHTAG] [HASHTAG]#tmt[/HASHTAG]
Alwayss we bank blue
Imetisha kiongozi bravooo risk management as well waache wapige kelele wenye mawingu katika bongo zao
 
Pene nia pana njia,watu tushaanza kua mafundi wa forex,mpk desemba tutakua level nyingine.ningeijua hii kitu mapema ningekua mbali sana,bila kutegemea hela ya mtu wala serikali.
 
Kijana mdogo ONTARIO aliyejizolea jina kubwa na hata kubadili jina lake na kuwa Mkuu na Chief akiiitwa na watu wa rika mbalimbali wazee kwa vijana. Kijana huyu ameleta sauti za matumaini kubwa miongoni mwa watu wengi, binafsi nampongeza sana kwa jitihada alizozionyesha.

Bila shaka mpaka sasa zaidi ya watu 500 watakuwa wamepata mafunzo kutoka kwa kampuni yake ya TMT (The Million Team). Nashukuru kuwa amewahi kuleta ushahidi wa mafanikio hapa jukwaani japo angali kwa watu wachache.

Uzi huu unalenga kuitisha mrejesho huru usiofungamana na UPANDE wa TMT bali uwe huru kwa maana ya kwamba wanufaika wote watupw mrejesho. Bahati nzuri asilimia zaidi ya sabini ni wanachama humu. Natarajia kuwa zaidi ya wanufaika mia tatu wamo humu. Idadi hii ni kubwa sana nilitarajia tuanze kuona thread za members wengi zikibadilika humu kutoka kulia maisha magumu na kulia kwa furaha za mafanikio.

Hebu ninaomba wanufaika wote tuje hapa tutoe mrejesho huru usiopendelea, kama umenufaika au umenusurika. Mrejesho huu pia unaweza kutoa taswira juu ya biashara hii kwa wakati ujao. Kumbuka watu wengi wakiishia kulalamika kwa kuliwa serikali sikivu ikisikia itajua ni utapeli na itafunga, hivyo natumaini pia kuwa mrejesho huu utanufaisha TMT kwa kuchukua hatua za kuboresha ama kuharibu kutokana na ubora kuzidi.

Asante
Majaribu2013
Mtoto wa Ontario.
Nilidhan nawewe ni mnufaika ushatusua kwenye huo mchongo ndio maana nikaufungua uzi wako kwa haraka,kumbe unawaita waje watoe ushuhuda
 
Nimefuatilia thread zote za Ontario na Forex yake na nimegundua yafuatayo.
1: Hii biashara sio real maana hakuna biashara ya kupata faida tu au asilimia kubwa wanapata tu faida hakuna hasara.
2:Huwez kupata ukwel wa hii biashara kuputia jf maana Ontario anapata faida kubwa kwa training na jf wanapata %.
3: Thread na comments za wanaosema ukwel zinafutwa maprma sana ivyo ni ngumu kupata upande wa pili wa story.
Mkuu asala ipo kama ujawa makini na soko
 
Billy Gate na utajiri wote alionao sijaona akiita watu nao wafanye hiyo biashara anayofanya yeye, ndio kwanza ana monopoly soko la operating system.
 
Billy Gate na utajiri wote alionao sijaona akiita watu nao wafanye hiyo biashara anayofanya yeye, ndio kwanza ana monopoly soko la operating system.
Hata linus tolvad alitengeneza linux lakini akaichia iwe open wengine watengeneze na wajifunze leo hii google kupitia android wanapiga hela kuliko hata alietengeneza linux kwa hiyo usikalili
 
Scam brokers wapo na genuine wapo , hili tunalijua.

Hivi kwani mnadhani Ontaria tumemlipa sh ngapi? Elfu 65 tu.....account tunafungua wenyewe bank. Pesa kwa brokers tunaweka wenyewe.....kisha broker wanatulipa withdraws zetu.
Sasa mi nawashangaa haters....scam ni nani? TMT?, ONTARIO? BROKERS, au nani ni scam? Poleni sana......tapeli nani na kamtapeli nani?
Maana kule hakuna ujanja ujanja wanataka your valid ID na residency documents.....

Poleni sana....ntakuja kutoa ushuhuda inshaa Allah ila kwa sasa tuacheni kwanza.
Yaaani hawataweza kukuelewa mkuu kuna baadhi ya watanzania ni shida sana vichwa vichafu vimeoza ni watu wa kupinga kila kitu bila hata kuchunguza

Halafu sasa angalia aina ya maisha wanayoishi yaani magumu yanasikitisha wanataka kila MTU awe masikini ili wafanane nao .

Na ukichunguza utakuta walishawahi kutapeliwa mahali sasa wako traumatized bado hawajawa recovered wana dhani kila kitu ni utapeli wako down trended mentally bongo zao zinasoma loss tu hahahahahahah

Yaaani mtanzania ni ajabu sana.
 
Back
Top Bottom