Scam brokers wapo na genuine wapo , hili tunalijua.Kama matapeli hivi. Wanapaswa kujitenga kabisa na Betting.
Huko India na Ulaya wanatengeneza feki website za kutrade hizo currency lakini mwisho wa siku inakuwa vilio kwa watu.
Onyo: Kuna ujanja sana humo ulikanyage miguu miwili...
Sasa kwani pesa mpaka kufika kwenye hizo account si lazima zipitie bank ya kawaida then bank kuu Sasa bank kuu wakiona upungufu wa biashara ya fedha za kigeni(imbalance trade) yani tunanuna Sana pesa za kigeni kiasi kwamba kumaliza hazina ya taifa wanazuia kabisa hizo transactions na mchezo unaishia hapoKuna hatari ya kufungiwa huko mbeleni ee?
Jama yangu haujui kitu halafu una act unajua.Acha uongo forex trade is 24/7/365
Yaan BOT washindwe kuona Imbalance trade kwenye manunuzi ya vitu China, yanayo involve madolali mengi, waanze kufuatilia vidola vichache wanavyoweka na wana JF. of which the largest mtu akijitahid ndo atadeposit Dola 20,000. Lakini wengi wamedeposit less, plus pia hata kama wakiona itakuwa vizuri sababu pia wataona na withdraws ambazo watu wanafanya.Sasa kwani pesa mpaka kufika kwenye hizo account si lazima zipitie bank ya kawaida then bank kuu Sasa bank kuu wakiona upungufu wa biashara ya fedha za kigeni(imbalance trade) yani tunanuna Sana pesa za kigeni kiasi kwamba kumaliza hazina ya taifa wanazuia kabisa hizo transactions na mchezo unaishia hapo
Mkuu with all due respect hiyo biashara hauwezi kujifunza na kubobea(mastering) haraka kiasi hicho.Endelea kusubiri mrejesho wenzio wako wanaagiza magari, trade zinaendelea kama kawa...
Mkuu with all due respect hiyo biashara hauwezi kujifunza na kubobea(mastering) haraka kiasi hicho.
It takes more than six(6) months to grab the wheel and master the road of Forex trading, others it takes years to make lump sum of money, and for others they will never make to the promise land(land of success).
Ushauri: Watu wasiogope wajiunge wapambane, hakuna biashara rahisi. Wapo wanaofanikiwa ktk hii biashara.
Good for them.Mkuu wewe wasema, ila wao kila siku wanatuonesha screenshot za wanatengeneza hela mingi this early.
Wewe umeuliza watu wanajibu kwa uhuru kama ulivyokuwa unataka unaanza kuwapinga..mijiti mingine bhanaForex ni ya kweli siyo kubet mkuu
mbona kwenye kubet watu wanaliwa kila siku serikali haiingilii kati tena makampuni ya kubet ndio yanazidi kumiminika kila siku?Serikali itaingilia kati sasa
Tupeni ushahidi acheni utapeli..Haijalishi watu wanasema nini, mafanikio ambayo yameanza kuonekana kwa wengi wetu ni uthibitisho tosha wa jinsi TMT ilivyo fanikiwa kubadili maisha kupitia fursa ya forex trade.
Mimi kama mmoja wa wanufaika nampongeza sana Ontario kwa moyo na nia ya kutufikia vijana wengi ili kupambana na makali ya maisha
Nasikitika kuona unashadadia kitu ambacho hata hukijui! Forex gani inafanywa 24/7/365??Acha uongo forex trade is 24/7/365
Tupeni ushahidi acheni utapeli..
Sema mkuu@ laki si pesambona kwenye kubet watu wanaliwa kila siku serikali haiingilii kati tena makampuni ya kubet ndio yanazidi kumiminika kila siku?