Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 4,783
- 14,975
Baada ya Mwanachama wa JamiiForums.com kuandika hoja yenye kichwa cha habari “Wakala wa CCM anayeandikisha majina kwenye kituo cha kupiga kura anapeleka wapi majina hayo? Ndio utaratibu wa Tume?” na kufafanua jinsi Wakala wa chama alivyokuwa akichukua majina ya wanaojiandikisha, ufafanuzi umetolewa.
Kama hukusoma hoja ya Mdau bofya hapa ~ Wakala wa CCM anayeandikisha majina kwenye kituo cha kupiga kura anapeleka wapi majina hayo? Ndio utaratibu wa Tume?
MRATIBU MKOA WA DAR AZUNGUMZA
Mratibu Uandikishaji Mkoa wa Dar es Salaam, Jerald Peter Sondo amesema “Utaratibu wa Wakala za Chama au Vyama ni kuwa mtazamaji na kubaini watu ambao wanastahili kujiandikisha na sio kuchukua taarifa za watu wengine wanaofika kujiandikisha.
“Kama yupo ambaye anafanya hivyo basi anakosea, tunaomba kufahamu jina la Kituo ili tuweze kushughulikia suala hilo kama lipo kweli, Wakala hana jukumu la kunakili majina ya kila mtu anayefika kujiandikisha au kuboresha taarifa zake.”
Kama hukusoma hoja ya Mdau bofya hapa ~ Wakala wa CCM anayeandikisha majina kwenye kituo cha kupiga kura anapeleka wapi majina hayo? Ndio utaratibu wa Tume?
MRATIBU MKOA WA DAR AZUNGUMZA
Mratibu Uandikishaji Mkoa wa Dar es Salaam, Jerald Peter Sondo amesema “Utaratibu wa Wakala za Chama au Vyama ni kuwa mtazamaji na kubaini watu ambao wanastahili kujiandikisha na sio kuchukua taarifa za watu wengine wanaofika kujiandikisha.
“Kama yupo ambaye anafanya hivyo basi anakosea, tunaomba kufahamu jina la Kituo ili tuweze kushughulikia suala hilo kama lipo kweli, Wakala hana jukumu la kunakili majina ya kila mtu anayefika kujiandikisha au kuboresha taarifa zake.”