Mratibu Act Tanzania auawa

Mratibu Act Tanzania auawa

hivi kile chama bado kinaendeleza umafia tu? wataua wangapi sasa? waliua makamu m'kiti na mbunge wa huko na sasa kinaua mpaka wanachama waliokihama. ama kweli haya ni majanga na Mungu atuepushie mbali kabisa na chama cha aina hii. mungu ailazi roho ya jemedari huyo mahali pema peponi. Amin.
 
Chadema ina laana ya chacha wangwe na inazidi kutafunwa na hiyo laana
 
Act ni majanga.kiongozi wao njaa kali anauawa kwajili ya noti chakavu ya alfu.kweli ccm imetufikisha kubaya sna watu wanauana hata kw buku,?kweli we zito kichwa maji cjui hyo zambi utaenda kutubu wapi ya usaliti,unapewa pesa wenzako huwajali angalia wanauana kwajili ya buku,.
 
Ila watu wa kanda ya ziwa hasa mara ni makatili hakuna mfano.si wanaume wala wanawake.

Msiingize siasa wakati chanzo cha mauaji kimetolewa.

Kuna maisha baada ya siasa na tukumbuke kuweka akiba ya maneno.
 
Hii habari ina mhemko wa kisias wakati content haihusiani
 
Mratibu wa ACT anauza mkaa!! Kiongozi wa Chama mbadala wa Chadema anashiriki kuharibu Mazingira!?
 
Pole Zit to umeona sasa vijana wako walivyokuwa na Njaa Kali on a salsa wanachinjana kugombea buku mpaka ifikwe 2015 .mtabaki Act 2
 
Jamani...huyo kiongozi embu twende mbele turudi nyuma... huyo kiongozi anatekeleza familia yake anauza mkaa mpaka anatoa noti chafu ili akip change... hiyo ACT ndo kitu gani....................ACT muwajali mafounder wenu japo tunajua fungu halitosh

Mbona unafikiri kitoto! Mkaa sio biashara? gharama ya kupikia kwa umeme nchi hii utaiweza?
Gesi huijui.
dsm bila mkaa 90% ya wakazi hawatakula.
Musoma ndio kabisa.
Kwa taarifa nilizopata marehemu ni kaka wa ukoo na mh Vicent Nyerere.
Marehemu aliwahi kuwa katibu wa chadema wilaya ya musoma.
 
hivi kile chama bado kinaendeleza umafia tu? wataua wangapi sasa? waliua makamu m'kiti na mbunge wa huko na sasa kinaua mpaka wanachama waliokihama. ama kweli haya ni majanga na Mungu atuepushie mbali kabisa na chama cha aina hii. mungu ailazi roho ya jemedari huyo mahali pema peponi. Amin.

idiotic coment.
 
Kama ni ya kigoma mulize dr wenu atawaeleza namna act kinavyompa presha hivi ss act ndio mpango mzima
 
Chadema ina laana ya chacha wangwe na inazidi kutafunwa na hiyo laana

Mzimu wa Chacha Wangwe upo makao makuu ya Chadema ,sasa umecharuka wale wote waliomlazimisha kuludi Aridhini pasipo ridhaa ya mungu sasa wanachachawa.
 
hivi kile chama bado kinaendeleza umafia tu? wataua wangapi sasa? waliua makamu m'kiti na mbunge wa huko na sasa kinaua mpaka wanachama waliokihama. ama kweli haya ni majanga na Mungu atuepushie mbali kabisa na chama cha aina hii. mungu ailazi roho ya jemedari huyo mahali pema peponi. Amin.
R.I.P chacha wangwe...
 
Back
Top Bottom