RockSpider
JF-Expert Member
- Feb 16, 2014
- 6,859
- 2,758
Mratibu wa chama kipya cha Act Tanzania,jimbo la Musoma mjini Robert Saaya ameuawa usiku wa kuamkia leo kwa kuchomwa name kisu.
Mke wa marehemu alisema kuwa chanzo cha mauaji hayo ni mmoja wa vijana waliofika nyumbani kwa marehemu na kulalamika kuwa mkewe alirudishiwa not I iliyochakaa baada ya kununua mkaa mchana wa siku hiyo
Ameeleza kuwa katika mabishano hayo kijana muuaji alieleza kuwa analetewa siasa jambo aliloeleza kuwa hakubaliani nalo
Kaimu kamanda wa Polisi mkoa wa Mara Paul kasabayo amethibitisha kutokea kwa mauaji hayo ingawa hakusema kama yanahusiana name masuala ya kisiasa.
Inadaiwa kuwa Saaya kabla ya kujiunga name Act Tanzania. alikuwa no mwanachama wa chadema akiwa ni kiongozi wa ngazi ya mkoa
Mkuu Jaribu ku-edit bandiko lako... ACT imeanzishwa kwa lengo la kuishambulia CDM ama malengo yao ni kukamata Dola? Something is wrong kwa akina Mwigamba et al...Blaming CDM kuanzia asubuhi hadi Usiku ndiyo sera ya maendeleo wanayotuambia ?...One msaliti always Msaliti! "waliozoea kuishi kwa Uongo, hawawezi kuishi kwenye ukweli...by Lisu"