Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Ndugu wapendwa nimeshawishika saa hizi kuanza kuuliza kila ufisadi ulikuwapo kipindi cha nyuma?
Mhe Mramba nakumbuka wakati akiwa Waziri wa Miundo Mbinu kabla ya kuamuru watanzania wale majani, alidiriki kuandika barua ya kuishauri serikali Precission kuungana na AIRTANZANIA na kuwa NATIONCARRIER.
Bila kuwa na haya aliamua kuweka yule TWIGA aliekuwa Air Tanzania kabla ya kulazimishwa na serikali kufuta upumbavu wake!! Swali langu nauliza Mhe. Mramba "Zile pesa ulizonunulia share kubwa kwa kumtumia rafiki yako kumbe ndizo hizi za walipa kodi ama hizi ni zile za RADA ULIZOKULA NA Somaiya mfadhili wa CCM?"
....Hakika haki ya mtu haipotei duniani. Siku Mramba kwa jeuri alipowaambia watu wale majani sidhani kama alikuwa anajua ipo siku atapanda gari la kijani kuelekea Segerea! Bado najiuliza haya magari yaliyonunuliwa gafla tu hivi majuzi kwa ajiliya wafungwa yaliletwa mahsusi kwa ajili ya MAFISADI wa EPA?
Embu bwana MASHA TUSAIDIE HILI KABLA HUJARUKIA MSALA WAKO NA MENGI!
Mhe Mramba nakumbuka wakati akiwa Waziri wa Miundo Mbinu kabla ya kuamuru watanzania wale majani, alidiriki kuandika barua ya kuishauri serikali Precission kuungana na AIRTANZANIA na kuwa NATIONCARRIER.
Bila kuwa na haya aliamua kuweka yule TWIGA aliekuwa Air Tanzania kabla ya kulazimishwa na serikali kufuta upumbavu wake!! Swali langu nauliza Mhe. Mramba "Zile pesa ulizonunulia share kubwa kwa kumtumia rafiki yako kumbe ndizo hizi za walipa kodi ama hizi ni zile za RADA ULIZOKULA NA Somaiya mfadhili wa CCM?"
....Hakika haki ya mtu haipotei duniani. Siku Mramba kwa jeuri alipowaambia watu wale majani sidhani kama alikuwa anajua ipo siku atapanda gari la kijani kuelekea Segerea! Bado najiuliza haya magari yaliyonunuliwa gafla tu hivi majuzi kwa ajiliya wafungwa yaliletwa mahsusi kwa ajili ya MAFISADI wa EPA?
Embu bwana MASHA TUSAIDIE HILI KABLA HUJARUKIA MSALA WAKO NA MENGI!