Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Wakuu za saa hizi! Du leo nimechelewa kuja humu jamvini kweli. Jama tujuzeni yalojiri huko High Court. Vipi Mramba kapata dhamana? Ama ndo hivyo tena upande wa pili kakaa Mzee Msiba na upande ule kaka mtu ndo anamwakilisha Mzee wetu? Keki itapelekwa Keko nini?