Mpauko
R.I.P
- Jan 19, 2019
- 2,323
- 3,353
Habari wanajf..
Leo nahitimisha rasmi kuwa nadharia ya ANZA NA ULICHONACHO siyo sahihi baada ya mradi wangu kufeli.
LENGO:kuzalisha vifaranga 30 kwa kutumia mitetea 3
MRADI:UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI
Mradi wangu niliazimia kuanza namitetea mitatu ambayo niliitunza na kuiandaa kwa ajili hiyo waliobaki wawili walikuwa ni majogoo.
MAANDALIZI YA MRADI
Niliandaa sehemu tatu tofauti za kuatamia mayai kwa aili ya kuku hawa watatu.
Nilitengeneza mfano wa box la wavu kzunguka sehemu ya kuatamia na niliweka chakula na maji, hii ililenga kuzuia kuku kutokatoka.
Banda dogo nilitengnza kwa mabox na wavu nalo lilikaa chumbani kwangu, hili lilikuwa maalum kulelea vifaranga. Lilitosha vifaranga 40 hivi.
Mahindi kwa ajli ya kutwanga ili kupta pumba za kulisha
Dawa za asili kama vile mwarubaini na magome ya mkorosho.
Chombo cha kutoa joto kwa vifaranga jiko dogo la mkaa.
UTEKELEZAJI WA MRADI
Mitetea ilianza kutaga kwa kupishana wiki moja na siku tano
Mtetea wa kwanza alianza kuhatamia akiwa na mayai 12, niliondoa mayai yote nikabakisha moja tu, mayai 11 nilihifadhi.
Mtetea wa pili alianza kuatamia akiwa na mayai 14, niliondoa yote nikabakisha yai 1, mayai 13 yalihifadhiwa.
Mtetea wa tatu alianza kutmia akiwa na mayai 9.
Kila mtetea nilimpatia mayai 10, hivyo wte watatu wakawa na jumla ya mayai 30.
MATOKEO.
Wakiiishana siku tatu hadi tano mayai 25 yalianguliwa mayai 5 hayakuanguliwa.
Vifaranga 25 walianza maisha bila mama zao.
CHANGAMOTO
Baada ya wiki tatu akiba ya mahindi ikawa imekwisha tatiz la chakula likaibuka, nililazimika kutafuta mahindi mengine hata hivyo bado ikabaki kuwa changamoto kwani fedha ilikuwa ni tatizo.
Gharama za mkaa, nililazimika kuchoma mkaa kiasi ili kuhakksha vifaranga vinapata joto nishati.
Ktokana na changamoto ya chakula vifaranga 3 walikufa,
Wa2 walikufa baada ya kuugua.
Nshati nayo bado ikawa changamoto.
MABADILIKO YA PLAN
Sasa nilijaribu kumweka mtetea mmoja ili awe anawatunza wtoto, aliishia kuwadonoa tu na kuua wawili hivyo wakabaki 18
Kila mtetea aliwadonoa hivyo nikalazmika kumrudishia kila mtetea vifaranga vyake kwani ni wazi vingekufa kwa njaa na baridi.
Changamoto ya paka na mwewe imefanya mitetea miwili kupoteza vifaranga wte kwa sasa vimebaki vitano kwa mtetea mmoja.
Mteea mmoja amefanywa supu ya iddi jana
HITIMISHO
Kuanza na ulichonacho ni nadharia dhaifu sana na inawafanya watafutaji kuonekana wazembe na wavivu kuanza hustler
Ukweli ni kwamba almost all hustler zinahitaji Fund,nadharia hii haiwezi kulikwepa hilo wala haiwezi kufanya kazi bila PESA.
PESA ni almost ufunguo wa kila kitu, mfano katika huo mradi bla pesa hakunachakula, madawa waa vifaa muhimu. Ikumbukwe nimeufanya kwa kuzingatia nilichonacho.
TUHITAHIDJ KUWEZESHANA PANAPOBIDI KWA TULICHONACHO SIO SAHIHI KUSHUSHUA NA KUWAONA WATU NI WAVIVU NA KUPAZA SAUTI "ANZA NA ULICHONACHO WEWE"
WENGINE HUSEMA UZA SIMU, ELIMU YA KIJAMII NI MUHIMU SANA, NISINGEKIUJU HUU MRADI KAMA SIYO SIMU, NA ACTUALLY SIMU HAIFIKI HATA 20 ELFU.
Miradi hii ni mepesi katika maratasi tu uhalisia ni kisanga.
Naimani wenye ndoto za ufugaji wa kuku wa kienyeji wanaweza jifunza kupitia mbinu hii.
Leo nahitimisha rasmi kuwa nadharia ya ANZA NA ULICHONACHO siyo sahihi baada ya mradi wangu kufeli.
LENGO:kuzalisha vifaranga 30 kwa kutumia mitetea 3
MRADI:UFUGAJI WA KUKU WA KIENYEJI
Mradi wangu niliazimia kuanza namitetea mitatu ambayo niliitunza na kuiandaa kwa ajili hiyo waliobaki wawili walikuwa ni majogoo.
MAANDALIZI YA MRADI
Niliandaa sehemu tatu tofauti za kuatamia mayai kwa aili ya kuku hawa watatu.
Nilitengeneza mfano wa box la wavu kzunguka sehemu ya kuatamia na niliweka chakula na maji, hii ililenga kuzuia kuku kutokatoka.
Banda dogo nilitengnza kwa mabox na wavu nalo lilikaa chumbani kwangu, hili lilikuwa maalum kulelea vifaranga. Lilitosha vifaranga 40 hivi.
Mahindi kwa ajli ya kutwanga ili kupta pumba za kulisha
Dawa za asili kama vile mwarubaini na magome ya mkorosho.
Chombo cha kutoa joto kwa vifaranga jiko dogo la mkaa.
UTEKELEZAJI WA MRADI
Mitetea ilianza kutaga kwa kupishana wiki moja na siku tano
Mtetea wa kwanza alianza kuhatamia akiwa na mayai 12, niliondoa mayai yote nikabakisha moja tu, mayai 11 nilihifadhi.
Mtetea wa pili alianza kuatamia akiwa na mayai 14, niliondoa yote nikabakisha yai 1, mayai 13 yalihifadhiwa.
Mtetea wa tatu alianza kutmia akiwa na mayai 9.
Kila mtetea nilimpatia mayai 10, hivyo wte watatu wakawa na jumla ya mayai 30.
MATOKEO.
Wakiiishana siku tatu hadi tano mayai 25 yalianguliwa mayai 5 hayakuanguliwa.
Vifaranga 25 walianza maisha bila mama zao.
CHANGAMOTO
Baada ya wiki tatu akiba ya mahindi ikawa imekwisha tatiz la chakula likaibuka, nililazimika kutafuta mahindi mengine hata hivyo bado ikabaki kuwa changamoto kwani fedha ilikuwa ni tatizo.
Gharama za mkaa, nililazimika kuchoma mkaa kiasi ili kuhakksha vifaranga vinapata joto nishati.
Ktokana na changamoto ya chakula vifaranga 3 walikufa,
Wa2 walikufa baada ya kuugua.
Nshati nayo bado ikawa changamoto.
MABADILIKO YA PLAN
Sasa nilijaribu kumweka mtetea mmoja ili awe anawatunza wtoto, aliishia kuwadonoa tu na kuua wawili hivyo wakabaki 18
Kila mtetea aliwadonoa hivyo nikalazmika kumrudishia kila mtetea vifaranga vyake kwani ni wazi vingekufa kwa njaa na baridi.
Changamoto ya paka na mwewe imefanya mitetea miwili kupoteza vifaranga wte kwa sasa vimebaki vitano kwa mtetea mmoja.
Mteea mmoja amefanywa supu ya iddi jana
HITIMISHO
Kuanza na ulichonacho ni nadharia dhaifu sana na inawafanya watafutaji kuonekana wazembe na wavivu kuanza hustler
Ukweli ni kwamba almost all hustler zinahitaji Fund,nadharia hii haiwezi kulikwepa hilo wala haiwezi kufanya kazi bila PESA.
PESA ni almost ufunguo wa kila kitu, mfano katika huo mradi bla pesa hakunachakula, madawa waa vifaa muhimu. Ikumbukwe nimeufanya kwa kuzingatia nilichonacho.
TUHITAHIDJ KUWEZESHANA PANAPOBIDI KWA TULICHONACHO SIO SAHIHI KUSHUSHUA NA KUWAONA WATU NI WAVIVU NA KUPAZA SAUTI "ANZA NA ULICHONACHO WEWE"
WENGINE HUSEMA UZA SIMU, ELIMU YA KIJAMII NI MUHIMU SANA, NISINGEKIUJU HUU MRADI KAMA SIYO SIMU, NA ACTUALLY SIMU HAIFIKI HATA 20 ELFU.
Miradi hii ni mepesi katika maratasi tu uhalisia ni kisanga.
Naimani wenye ndoto za ufugaji wa kuku wa kienyeji wanaweza jifunza kupitia mbinu hii.