The Infamous
JF-Expert Member
- May 11, 2009
- 731
- 121
Wadau ninampango wa kufuga ngombe wa maziwa wa kizungu, kwa ajili ya biashara ya maziwa ila sijui changamotom zake, mwenye elimu na hii biashara anipe mwongozo jamani.
Natarajia kuanza na ngombe mmoja mwenye mimba.
Natarajia kuanza na ngombe mmoja mwenye mimba.