Mradi wa Ufugaji wa ng'ombe

Sio kustahimili magonjwa tu hata maziwa ya kutosha mkuu sjajùa kwa ngmbe ulowaona kuna changamoto gan nyngn ukiachna na breed malisho na management ndo vnamchngo mkubwa kwnye uzalishaji wa maziwa kuliko hata factor ya breed
Sawa, nashukuru sana. Hao cross wenyewe wa boran na fresian sijafahamu vizuri nianzie wapi kuwatafuta. Shamba langu lipo pwani. Ni namna ipi bora ya kupata good breeds?
 
Sawa, nashukuru sana. Hao cross wenyewe wa boran na fresian sijafahamu vizuri nianzie wapi kuwatafuta. Shamba langu lipo pwani. Ni namna ipi bora ya kupata good breeds?
Labda mkuu unaweza kunambia una aina gan ya ngmbe kwnye shamba lako
 
Labda mkuu unaweza kunambia una aina gan ya ngmbe kwnye shamba lako
Ndio nimeanza kutafuta ng'ombe nina shamba tu na maji. Nimeanza kufanya research ya aina ya breed, nikajiridhisha hiyo boan×fresian ndiyo pendekezo la wengi
 
Kwenye ufugaji wa ngmbe wa maziwa economical kufuga dume tunahesabu kama n hasara kwa sababu y mambo yafuatayo
1. cost za malisho na maji
2.chanjo na tiba
3.dipping or spraying

Note :Haya mambo utayaepuka utumiapo artificial insemination


Lets says unaanza kumlea ndama dume toka amezaliwa
Ndama anapozaliwa anatakiwa kunywa maziwa 10% ya uzito wake mfano ndama dume kazaliwa na uzito wa kilo 30kg asilimia 10% itakua ni lita 3 so anatkiwa kunyweshwa 3L ili aje kua ngmbe bora n mweny afya hili linaendlea kila siku mpaka anafiksha mwez mmoja
So kwa lita 3 kwa mwezi atakua ametumia lita 30
Pia ndama anatkiwa kunyweshwa maziwa mpaka kufkia miezi 3 ambayo jumla kwa makadirio inatakiwa kufkia lita 270
just calculate let say 1L=1500tsh maana ake unakua umepoteza laki 405000 ndani ya miezi 3 ambayo hata ukiamua kuuza h ndama ndama huyo wa miez 3 utomuuza kwa hio bei labd utaishi kuuza kwa bei ya laki 1.5 mpaka laki 2

Note: Bado ataendlea kula majan maji ,atahitaji dawa chanjo na n.k

Faida za kutumia artificial insemination (kupandisha )

1.net inccured cost ni ndogo ukilinganisha na kumfuga dume
2.unakua na nyanja ya kuchagua breed bora ya kupandsha mfano friesian,aryshire jeyser
3.kupunguza uwezekano wa kuambukiza magonjwa km trichonomosis ,brucella

Conclusion kufuga ngmbe dume katika biashara ya ngombe wa maziwa ni hasara siwashauri wafugaji kutumia njia hii kama mnahitaji faida zaidi.kama unahitaji ushauri wa kitahalam unawez kuulza swali hum .


Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Mkuu kwa wafugaji weng huwa madume huwa hatuyapendele kuyafuga sana kutokana na shida pia ya kutunza maana dume akishakuwa na nguvu tuu lazima apige watu na kuvunja mabanda hasa ka hutachukua tahadhari nying dhid yake pia gharama ya chakula
 
Vizuri mkuu ila sthan km kuna shamba linazalisha mitamba chotara wengi wanazalisha wenywe mashambani labda wanajamvi waje watupe connection ni mahala gan wanaweza kupatikana
Ndio nimeanza kutafuta ng'ombe nina shamba tu na maji. Nimeanza kufanya research ya aina ya breed, nikajiridhisha hiyo boan×fresian ndiyo pendekezo la wengi
 
Nilipita mitaa ya Nadanya huko umasaini, nikaona kundi kubwa la ndama mchanganyiko, wakubwa na wadogo. Nikashawishika kuuliza bei. Bei inacheza kati ya laki tatu mpaka laki nne.

Nikasema moyoni, nikiwanunua kumi hawa ndama madume, kisha niwahasi. Baada ya mwaka mmoja ninaweza pata ada ya watoto bila taabu. Kwa sasa dume mmoja mzuri pale Dar anaweza fika milioni moja bila udalali. Kwa wenye maeneo ya kufugia madume yaliyohasiwa hii ni biashara nzuri.
Uwahasi kwa sababu ipi?
 
Vizuri mkuu ila sthan km kuna shamba linazalisha mitamba chotara wengi wanazalisha wenywe mashambani labda wanajamvi waje watupe connection ni mahala gan wanaweza kupatikana
Nilikua nawaza kujaribu kuanza na wa kienyeji boran au aina nyingine then kuwapandishia kwa mbegu za kisasa kama fresian. Lakini naona baadhi ya members humu wana uzoefu mbaya na upandikizaji. Wewe unaonaje njia hii ya kuanza?
 
Nilikua nawaza kujaribu kuanza na wa kienyeji boran au aina nyingine then kuwapandishia kwa mbegu za kisasa kama fresian. Lakini naona baadhi ya members humu wana uzoefu mbaya na upandikizaji. Wewe unaonaje njia hii ya kuanza?
Ni wazo zuri mkuu mbegu kisasa kama friesian zinapatikana ila pia boran bei zake zitakua ni rahisi ukilinganisha na ngombe wa kisasa so utapata machotara wa 50% friesian kwa 50% boran
 
Ni wazo zuri mkuu mbegu kisasa kama friesian zinapatikana ila pia boran bei zake zitakua ni rahisi ukilinganisha na ngombe wa kisasa so utapata machotara wa 50% friesian kwa 50% boran
Ng'ombe mbegu za kisasa mfano friesian mwenye mimba anapatikana kwa wastani wa bei gani?
 
Malila huu mpango wa kufuga ng'ombe wa nyama na mimi ninao kilichobaki sasa hivi nikuanza utekelezaji tu by 2013 nadhani mradi utakuwa hewani.. lakini mimi nafikiria kufuga ng'ombe wa nyama wa kisasa.. niliona kwa bwama ASAS aisee ng'ombe anakwenda mpaka kg 1000 within a year baada ya castration. ASAS anaimport mbegu kutoka Denmark na kuzihifadhi kwenye vacuum tanks na alisema pia anaziuza kwa wafugaji wengine.
Hawa wakienyeji tatizo ukuaji wake kidogo unachukua muda mrefu lakini kama utapenda unaweza kupata mbegu nzuri ya ng'ombe wakubwa kutoka kanda ya ziwa i.e shinyanga
Mzee una kiwanda?
 
Kuna nyasi mpya zinaitwa juncao zinafanana na elephant grass ni nzuri sana kupanda kwa ajili ya malisho ya ng'ombe,eneo dogo unalisha ng'ombe wengi kwa mwaka.
Kwa masuala ya ufugaji wa ng'ombe wa maziwa, ng'ombe wa nyama,mbuzi na kondoo,malisho,matunzo na biashara ya maziwa, ng'ombe wa nyama na mbuzi nichek.
0756625286.
 
Mkuu tafuta habari za huyu FLECKVIEH huyu ni balaa anatoa hadi lita 40 akifikisha uzao wa 3
Jamaa akizingatia hili atakuja kukushukuru

Huyu ndio 'Simmental' mwenyewe

Jaman Tanzania bado tunamung'unya maneno huyu ng'ombe hajajulikana anapatikana wapi
 
Kuna nyasi mpya zinaitwa juncao zinafanana na elephant grass ni nzuri sana kupanda kwa ajili ya malisho ya ng'ombe,eneo dogo unalisha ng'ombe wengi kwa mwaka.
Kwa masuala ya ufugaji wa ng'ombe wa maziwa, ng'ombe wa nyama,mbuzi na kondoo,malisho,matunzo na biashara ya maziwa, ng'ombe wa nyama na mbuzi nichek.
0756625286.
Upo wapi mkuu??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom