balimar
JF-Expert Member
- Sep 18, 2015
- 7,563
- 13,276
Nakuomba mkuu usifananishe fleckvieh na mambo ya kijingaMkuu hilo sio tatizo hata kidogo, kuna ngombe wazuri tu wanafanya vizuri kwenye maeneo ya joto mfano fleckvieh..pia kama unafugia maeneo ya joto fuga chotara..mfano borani+friesian = chotara utakalopata hapo litakupa tija nzuri saana...Mtembelee JK MSOGA..utaona anavyofuga kwa tija...na ili ngombe wakupe 70% ni proper management na 30% ni feeding
Kama unae dume wa fleckvieh popote ulipo namfuata.
Nimemtufuta huyo ng'ombe nimeshindwa