Mradi wa Kilimo BBT umeishia wapi?

Mradi wa Kilimo BBT umeishia wapi?

Hahaha Bashe na Kafulila waasikusikie ukiuliza hayo maswali.

Watakusomea takwimu hujawahi kuziona.
 
Nilkuwa nautaman sana huo mradi niliomba nikakosa baadae nikasikia wameanza mambo ya ajabu ajabu mara uende had Jkt nk
Had ukimya ukachukua nafasi sasa sjuh bado upo au wahuni washajipigia pass ndefu urefu wa kamba ushachukua nafasi
 
Back
Top Bottom