JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 6,838
- 14,218
Pale Kawe, kituo Cha Masai kabla hujafika ukwamani, uzio wa makazi ya JWTZ umevunjwa na zinajengwa fremu pale.
Swali langu: Ile ardhi ni mali ya umma, nani anajenga zile fremu? Je, ni jeshi lenyewe au kuna ofisa anatumia cheo chake kujenga fremu apige pesa kupitia mali ya umma?
Na hata kama zinajengwa na jeshi, haiwezekani jeshi kwa rasilimali zake zote lijiingize kwenye vimiradi vidogo kama hivi, kushindana na Raia wa kawaida.
Tunategemea jeshi lijenge viwanda, scheme kubwa za kilimo zinazotumia zana za kisasa, lianzishe miradi ya IT na artificial intelligence na sio biashara ya kupangisha fremu.
Hii kwa kweli haikubaliki, ni uchafuzi wa mazingira. Yale makazi yapewe hadhi yake, yabaki kama makazi ya wapiganaji na maofisa.
Haiwezekani mtu anajenga banda la kufuga kuku Masaki, Oysterbay, Upanga.
Swali langu: Ile ardhi ni mali ya umma, nani anajenga zile fremu? Je, ni jeshi lenyewe au kuna ofisa anatumia cheo chake kujenga fremu apige pesa kupitia mali ya umma?
Na hata kama zinajengwa na jeshi, haiwezekani jeshi kwa rasilimali zake zote lijiingize kwenye vimiradi vidogo kama hivi, kushindana na Raia wa kawaida.
Tunategemea jeshi lijenge viwanda, scheme kubwa za kilimo zinazotumia zana za kisasa, lianzishe miradi ya IT na artificial intelligence na sio biashara ya kupangisha fremu.
Hii kwa kweli haikubaliki, ni uchafuzi wa mazingira. Yale makazi yapewe hadhi yake, yabaki kama makazi ya wapiganaji na maofisa.
Haiwezekani mtu anajenga banda la kufuga kuku Masaki, Oysterbay, Upanga.