Mr Nice guys are not husband material

Mr Nice guys are not husband material

Status
Not open for further replies.
Mzuka JF?

Wengi wa mr Nice Guys wanakuwa wamelelewa zaidi na mama/wanawake baba anaweza awe hayupo ama yupo lakini yupo literally ABSENT ....unakuta wanakuwa hawako balanced wanakuwa na attachment na mama zaidi....yeye kila kitu ni mama, mama ndio ana decide pesa yake inatumika vipi na mama ndio kimbilio lake akiwa na chochote kinachomsibu, including misunderstanding kati yake na partner wake.....siku zote kama mke utajihisi powerless na hutokuwa na maamuzi na ndoa yako.....

La muhimu zaidi nililotaka kuzungumzia ni SEX, usiolewe na mr nice guy hawajui kusex, si ajabu kumkuta yule mvaa vitenge ni bikira ama unakuta senior bachelor ashawahi kuwa na girlfriend mmoja tu au bikira hana experience. Sasa wewe jichanganye uolewe nae, hujui kutopata good sex ndio mwanzo wa moods swing, irritability na Cheating?????? asikwambie mtu foundation ya any relationship ni sex. Sasa usipopata good sex utanuna, utakuwa mgomvi utacreate unhappy home, na lenyewe halitaelewa litakukwepa na kupeleka attention kama sio kwa mamake basi kwa mchepuko!

Tumeambiwa sisi wanawake tukishafanya umalaya tunatafuta mr nice guys tunatulia nao kwa ndoa, sijui ni uongo sijui ni ukweli.,....ila kama divorce rate iko juu na wanaoolewa sio mabikira....tunaweza ku derive kwenye one conclusion; hatuolewi na Mr Nice guys kama wengi wanavyodhani, ni makurumbembe tunaolewa nayo otherwise yangetulia ndoani.
Tuma mmoja tumlogee na dawa utaqeza olewa
 
good sex haiwezi kuvunja ndoa....seriously???...wanaoenda kwa michepuko huwa wanafata nini??..................Je katika reasons za ndoa kuvunjika ipi inakuwa cited as most reason ndoa kuvunjika??? wewe utaoa bila kupata good sex???....niambie mtazamo wako
Sawa, ngoja niangalie kwanza game ya Ahly maamelodi.
 
Mwanamke anamtaka mwanaume mualibifu(badboy), ili ajipe kazi ya kumfanya awe mwanaume mwema(nice guy). Unabaki kushangaa kwanini asingeenda kwa mwanaume mwema kuanzia mwanzo ili kuepuka iyo risk ya kuwa potential victim wa mwanaume muaribifu? Mwishoe unakuja kupata jibu kwamba, sababu ni mwanamke hajui anataka nini.
Mahitaji huwa yanabadilika kutokana na mtu mwenyewe.
 
Target number 1 ya single mums ni nice guys, wanajua watapokewa kwa upendo na matunzo
Baada ya kujipata, hurudi au hutafuta another badboy
Women are attracted to chaos, mwishowe they end up in the ditch na kutupa lawama
Sure mzee.. katika mahusiano nice guys ni victims wa wema na uaminifu wao, lakini mtoa mada kaleta post kama vile nice guys ndio villains.

Kinachochekesha ukimwambia akutajie sifa za mume anaemtaka usishangae akakwambia anataka mume mpole, mwaminifu, anaemjali na mchamungu.

Hawajui wanataka nini.
 
Mzuka JF?

Wengi wa mr Nice Guys wanakuwa wamelelewa zaidi na mama/wanawake baba anaweza awe hayupo ama yupo lakini yupo literally ABSENT ....unakuta wanakuwa hawako balanced wanakuwa na attachment na mama zaidi....yeye kila kitu ni mama, mama ndio ana decide pesa yake inatumika vipi na mama ndio kimbilio lake akiwa na chochote kinachomsibu, including misunderstanding kati yake na partner wake.....siku zote kama mke utajihisi powerless na hutokuwa na maamuzi na ndoa yako.....

La muhimu zaidi nililotaka kuzungumzia ni SEX, usiolewe na mr nice guy hawajui kusex, si ajabu kumkuta yule mvaa vitenge ni bikira ama unakuta senior bachelor ashawahi kuwa na girlfriend mmoja tu au bikira hana experience. Sasa wewe jichanganye uolewe nae, hujui kutopata good sex ndio mwanzo wa moods swing, irritability na Cheating?????? asikwambie mtu foundation ya any relationship ni sex. Sasa usipopata good sex utanuna, utakuwa mgomvi utacreate unhappy home, na lenyewe halitaelewa litakukwepa na kupeleka attention kama sio kwa mamake basi kwa mchepuko!

Tumeambiwa sisi wanawake tukishafanya umalaya tunatafuta mr nice guys tunatulia nao kwa ndoa, sijui ni uongo sijui ni ukweli.,....ila kama divorce rate iko juu na wanaoolewa sio mabikira....tunaweza ku derive kwenye one conclusion; hatuolewi na Mr Nice guys kama wengi wanavyodhani, ni makurumbembe tunaolewa nayo otherwise yangetulia ndoani.
Inawezekana you met a guy "nice guy". Who you wanted to get alot from in terms of attention and the like, a sacrifice kwaajili yako including financially ila akawa na priorities zilizokufanya uone anakua influenced na wazazi wake. Maybe you thought sex would do the trick akusikilize ila mwisho wa siku it didn't work out mwishoni ukamuona kama goi goi flani ivi sababu you never saw yourself in a position ya kueleweka kwake. Ila ni maoni yangu tu
 
Inawezekana you met a guy "nice guy". Who you wanted to get alot from in terms of attention and the like, a sacrifice kwaajili yako including financially ila akawa na priorities zilizokufanya uone anakua influenced na wazazi wake. Maybe you thought sex would do the trick akusikilize ila mwisho wa siku it didn't work out mwishoni ukamuona kama goi goi flani ivi sababu you never saw yourself in a position ya kueleweka kwake. Ila ni maoni yangu tu
There is a possibility that you hit the point. She entered into relationship with parasitic expectations, but the guy didn't see if she is worth the sacrifices and efforts. As usually women can't accept rejection in a good way, insteady of accepting the fact that she is not needed, she came up with stupid excuses and dis
 
Inawezekana you met a guy "nice guy". Who you wanted to get alot from in terms of attention and the like, a sacrifice kwaajili yako including financially ila akawa na priorities zilizokufanya uone anakua influenced na wazazi wake. Maybe you thought sex would do the trick akusikilize ila mwisho wa siku it didn't work out mwishoni ukamuona kama goi goi flani ivi sababu you never saw yourself in a position ya kueleweka kwake. Ila ni maoni yangu tu
Hakuna watu ambao wako influenced na wazazi wao?

Hakuna wanaume wasiojua kusex????

Umeshindwa kujibu topic as a whole nini mtazamo wako bila kumweka kati mtoa mada?! Au huwezi kujibu objectively?
 
There is a possibility that you hit the point. She entered into relationship with parasitic expectations, but the guy didn't see if she is worth the sacrifices and efforts. As usually women can't accept rejection in a good way, insteady of accepting the fact that she is not needed, she came up with stupid excuses and dis
Vijrmbe vyako haviniingii MPUMBAVU WEWE...TRY HARDER kenge we!
 
Hakuna ubaya wowote mama kuwa na ukaribu na kijana wake. Sababu kubwa ambayo inafanya wanawake msiive chungu kimoja na mama mkwe ni kutokana na kwamba wote ni wanwake kwaiyo mnajuana manipulative na cheating codes zenu. Hauwezi kukuta mume ana shida na baba mkwe au mashemeji zake. Mara zote utata unakua ni kati ya mke na mawifi au mama mkwe

Mpaka ukajua mr.nice guy ana perfomance mbovu kitandani je ulimlinganisha na nani? Kwamba una maex 7 unataka bwana mr.nice awazidi wote kwenye kila idara.! Get lid of that delusion and unrealistic expectations. Ulishindwa kujitunza mpaka ndoa bado unaishi na kumbukumbu za mamno yote uloypfanya na maex wako sasa izo consequencies za umalaya wako usimwangushie jumba bovu bwana nice guy. Kama unajijua ni kitombile olewa na kitombile mwenzako

Divorce late iko juu na 80% ya madai ya divorce ni kutoka kwa wanawake hii ni kwa sababu mwanamke anapata reward kisheria pale anapovunja ndoa yake(mgao wa mali, child support, divorce alimony), sababu sio nice guys.

Udhaifu mkubwa wa nice guys kwenye mahusiano ni kushindwa ku-twist emotions za wanawake ambazo zipo influenced na chaos. Mwanamke hawezi kuishi bila dramas kitu ambacho nice guys hawakiwezi. Kimsingi nice guys ndio victims wa wanawake
Kunywa pepsi moja kwa gharama zako. Umeandika madini tupu
 
Nilichoelewa ni kwamba wanawake (wamama)uharibu na wanawake (wake) ulalamika...

Nice guys huamini wake zao uhitaji kilichobora katika maisha yao. Kumbe kimsingi sivyo. Na tafiti zinaonyesha wapo 95%. Damn...

"Every man is nice to a woman he likes and rude to the one he dislikes"...
 
Wanawake hamjui mnataka nini izo zingine ni blah blah. Kama hauwezani na nice guys mbona simple kabisa. Wewe jiweke kwa bad boys then waache nice guys na maisha yao, sio kumtaka nice guy aende sambasamba na delusions zako za kishetani.

Kwamba nice guy alieamua kuheshimu mwili wake na heshima yake unataka awe mtombaji holela ili tu apate validation yako. Kwamba nice guy anaeamini katika diplomasia unataka awe dikteta. Wema ndio character yake ndivyo alivyo kama hauwezi nenda kwa badboys

Kitu ambacho hawajui, Those Hoes They Don't deserve Nice Guys.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom