Kwanza swali la msingi kwa mwanaume jiulize unataka nini kwa mwanamke, na kwa uzoefu wote huu bado tu umebeba mapokeo ya miaka ya 60? Expectations zako bado zipo valid (zitakuua tu)? Vitabu vya wakongwe vinasemaje (biblia na Kuran)? Kitabu gani kilimpa hadhi mwanamke mwandishi anayataka tumpe? Hizi ni expectations zinazokuja kukupa stress na kuingia kwenye jinai baadaye vijana. Life is really easy unless you complicate it.
By the way mnajua Obama anadivorce pia? Huenda atakua 1st lady wa kwanza kuwa divorced ikitokea coz hawaishi pamoja tena na anapata wakati mgumu dunia ikijua? Why bother? Akienda si aende tu unajali nini? Angalia maisha yako na uhai wako, Solomon alikua na 300 plus 700 who cares? kule kumefungwa bora niweke hapa