Mr Suggestion
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 605
- 308
Nice point mkuu kwani pale ferry ni bora hata kwa ndugu tega wa TFF kwa jinsi wanavyotuibia. Labda leo hii huyo Dr wenu akusanye mapato yeye mwenyewe then jioni atupe hesabu kapata kiasi gani.
Shilling mia kimsingi haiwatoshi watumishi wote wa pale(Mkatisha tiketi, mchana tiketi, mfungua geti la abiria, yule mdada kwenye microphone, mfungua mnyororo,polisi, suma jkt, mafundi,,,,,,,,,) yaani ni wengi mmno na wanaushirikiano sana yaani huwezi sikia kerere yeyote pale jamaa wanaishi kwa upendo mno na wala hawazurumiani. Ili mgao uwatoshe labda waongeze nauli mpaka buku mbili
Shilling mia kimsingi haiwatoshi watumishi wote wa pale(Mkatisha tiketi, mchana tiketi, mfungua geti la abiria, yule mdada kwenye microphone, mfungua mnyororo,polisi, suma jkt, mafundi,,,,,,,,,) yaani ni wengi mmno na wanaushirikiano sana yaani huwezi sikia kerere yeyote pale jamaa wanaishi kwa upendo mno na wala hawazurumiani. Ili mgao uwatoshe labda waongeze nauli mpaka buku mbili
Kingine hata mkisema waenda kwa miguu walipe sh 500 bado haitawatosha pale ferry kuna watu zaidi ya 4 wote wanalinda hiyo sh 100 pale kuna Temesa,askari polisi,suma jkt security guard,wanajeshi yaani ulinzi wa pale ni zaidi hata ya wizarani