Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,270
Waziri wa ujenzi John Magufuli amekwenda kivukoni kutuliza hali ya hewa baada ya uongozi wa vivuko hivyo kupandisha nauli zaidi ya asilimia miamoja bila sababu za kueleweka!
Nitawajuza habari zaidi baadae!
Updates!
Taarifa iliyotolewa hapa nikuwa Waziri mkuu Mh Pinda ni kuwa amesitisha nauli mpya za vivuko!
Hii ni kwa mujibu wa mr Magufuli PM
Nitawajuza habari zaidi baadae!
Updates!
Taarifa iliyotolewa hapa nikuwa Waziri mkuu Mh Pinda ni kuwa amesitisha nauli mpya za vivuko!
Hii ni kwa mujibu wa mr Magufuli PM