samora10
JF-Expert Member
- Jul 21, 2010
- 7,594
- 4,798
Miafrika ndivyo tulivyo.. watu wakiamua kufanya kazi mnawazomea.. kosa la maghufuli nini hapo? Tuwe wakweli.. pamoja na ulegelege wa kukusanya mapato pale kivukoni kama mbunge na wadau wengine wanavyojaribu kutetea ila sh 100 jamani tangu 1995??!
Nchi hii watu wanapenda kuchekewa chekewa tu.. ndio maaana tupo hapa tulipo naskia na waziri mkuu kasitisha hizo bei mpya.. huu ni uendawazimu na upuuzi kuliko yote! kwa hili Pinda kakosea sana ndio maana watu wamekufa mabondeni kwa ajili ya upuuzi huu huu wa kuchekea na kutaka kumfurahisha kila mtu
Nchi hii watu wanapenda kuchekewa chekewa tu.. ndio maaana tupo hapa tulipo naskia na waziri mkuu kasitisha hizo bei mpya.. huu ni uendawazimu na upuuzi kuliko yote! kwa hili Pinda kakosea sana ndio maana watu wamekufa mabondeni kwa ajili ya upuuzi huu huu wa kuchekea na kutaka kumfurahisha kila mtu