Mr. Kuku Farm ni aina mpya ya DESI?

Mr. Kuku Farm ni aina mpya ya DESI?

Aisee dada Tabutupu kwanza nikupongeze kwa kuwa na tahadhari, kutaka ushauri kabla yakuingia..

Binafsi nimekutana nayo sana matangazo yao wanayorusha kwenye sponsored huyo anaejiita Mr.kuku, kwa mara ya kwanza nilipokutana nalo tangazo lake, nilifanya kauchunguzi kidogo maana nina kauzoefu kidogo kwenye hizi biashara za mitandaoni..

Kwa huyo Mr.kuku ni tapeli kama matapeli wengine, narudia tena hapo kuna utapeli! Tujiulize haya maswali:-

• Ikiwa mtu umeweza kuwekeza kwenye ujenzi wa mabanda makubwa ya kuku, sidhani kama utaweza, wala kuwa na muda wakutumia nguvu kushawishi watu wawekeze 150K ili wavune faida [emoji3]. Hii ni ishara ya kwanza yakupigwa.

• Katika post zake nyingi huyu jamaa huwa ana ignore / zuia sehemu ya comment, yaani akipost basi anaondoa ile sehemu ya comment. Hii maana yake hapo kuna watu walishapigwa, kwaiyo anaondoa sehemu ya comment ili wale waliopigwa wasije ku comment shutuma zake nakusababisha ambao hawajui wakajua ukweli ulivyo nakupelekea kukosa wateja wapya. Kwaiyo hapo anafuta comment ili tu ambao hawajui wasijekupata info za utapeli nakuwaogopesha kuingia.

Pia kwenye kutoa ushuhuda hapo usitilie maanani sana, anaweza hata kula njama na watu akawalipa 20k akawapanga namna ya kuongea, akawarekodi kisha mnapostiwa pale instagram, Na vile wabonho wanavyopenda mtelezo na short cuit basi anaweza kutuma hela hata kwa Mpesa kwa sababu yupo mkoani kisha aje kuvuna mil 8 [emoji16] (hahahaaa, wabongo baana [emoji1487])

Hebu jiulize kwanza, hivi yeye Mr.kuku haitaki hiyo mil 8? Ikiwa anatumia nguvu kubwa kwa kuitaka 150K yako vipi mil 8? My guy think twise..

Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mnapenda kukurupuka (usione kichaka basi unataka ukanye) we jambo umeliona tu bila kulifanyia uchunguzi unalikimbiza hapa jukwaani ili uonekane mwerevu je umeshawahi enda ofisini kwao ukapata japo mawili matatu kabla hujaja kulia lia hapa ....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wewe ndio umetuleta kwenye somo lenyewe.. big up.

Naamini kuna watanzania wengi sana wamesha pigwa na natabiri atafuta matangazo yake na kutokomea kusiko julikana.

Cha kushangaza, wizara husika zinawaachaje watu kama hawa wanafanya utapeli kwa leseni za serikali?



Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe Dada mweupe kabisa kichwani, mwenzio kaandika research yake jinsi gani anamtilia wasiwasi uwenda ikawa utaperi wewe unakuja kuConclude kawa kawataperi wengi serikali inamuachaje.

Duu

Portfolio | 2020
 
Mnapenda kukurupuka (usione kichaka basi unataka ukanye) we jambo umeliona tu bila kulifanyia uchunguzi unalikimbiza hapa jukwaani ili uonekane mwerevu je umeshawahi enda ofisini kwao ukapata japo mawili matatu kabla hujaja kulia lia hapa ....

Sent using Jamii Forums mobile app
Inaonekana na we Ni mnufaika kwenye hiyo DECI
 
Tunakoelekea Serikali itakuwa inatuletea wake na waume majumbani mwetu.

Kila kitu Serikali.

Uvivu wa kufikiri mbaya sana.

Tumia akili yako mkuu.
 
Mkuu wewe ndio umetuleta kwenye somo lenyewe.. big up.

Naamini kuna watanzania wengi sana wamesha pigwa na natabiri atafuta matangazo yake na kutokomea kusiko julikana.

Cha kushangaza, wizara husika zinawaachaje watu kama hawa wanafanya utapeli kwa leseni za serikali?



Sent using Jamii Forums mobile app

Wizara utakuta hazina hata taarifa, istoshe hapo inavyoonekana sio utapeli wa moja kwa moja, kwamba unampa tu hela kisha anakimbia, hapana... Huo ni utapeli wa kitaalamu, kuna mikataba utasainishwa wakati wa kuinvest hiyo 150k yako.

Sasa kwenye ile mikataba kutakua na vipengele vitamlinda sana yeye Mr. Kuku, na wewe mbongo kwakua akili yako yote ilikua ikiwaza kuvuna mil 8 basi hata hautajishughulisha kuusoma mkataba kwa kuuelewa, utasoma ili umalize kusoma tu.

Mfano kwenye mkataba kunaweza kua na kipengele kinachosema... "Endapo mradi ukapata hasara nakupelekea investor kushindwa kulipwa return yake, basi investor atarudishiwa return yake ndani ya miaka 5 ijayo baada ya tarehe husika ya return". Mzee baba hapo itakuta mkataba upo kwa lugha ya malikia basi mbongo unajikuna unaambukia this is na that [emoji3]..

Kimbembe kitakuja siku ambayo unatakiwa kupata return yako.. Kwanza watakaa kimya tu, utapowakumbusha hapo ndipo zitapokusa sababu za hapa na pale... Mfano unaweza kuambiwa "Kuku waliugua ugonjwa wa gafra na kupelekea kufa hivyo mradi uliingia kwenye hasara, investor wote wamepata hasara kwaiyo return yako tunatarajia kuirudisha baada ya miezi 6 mingine kwenye mradi ujao" hapo ndio bye bye hio mkuu..

Ukianza kulalamika utaambiwa nenda mahakamani [emoji3]... (Hapo umesha sahau kama ulisign mkataba, na huo mkataba hukuusoma na kuuelewa wote).. Hapo hesabu ushapigwa tayari.

Nakumbuka mwaka jana kuna jamaa alitapeli sana watu huko instagram... Watu walinyooshwa sana, alikua anajiita "PIKIPIKI MTUMBA" [emoji16]... Alikua anapost zile bikes kali kali za dede, kama honda, enduro, ktm kuanzia cc 250 hadi zingine za cc 1000 kwa bei sawa na bure. Utakuta honda ya cc 450 anauza kwa 2.5 milioni. Kumbe jamaa alikua na strategy pendwa kwamba "Tunatuma jadi mkoani, kwa uaminifu mkubwa"

Basi baada ya kuvutiwa na bei zake nikasema hebu ngoja nimuibukie whatsap (maana alishaweka namba kwa BIO pale juu )... Basi nikaeleza shida yangu pale, kwawamba nimeipenda pikipiki fulani bei yake ikoje? Nikatajiwa mil 3, nikamwambia mimi nina mil 1.8, naomba unisaidie kaka... Akakaa kimya kwa sekunde kadhaa kisha akajibu sawa lete hiyo. Nikamuuliza utaratibu ukoje?... Hapa ndipo aliponihakikishia kwamba yeye tapeli though nilishaana kuhisi harufu ya utapeli kabla [emoji3].

Jamaa akanambia "tuma hiyo pesa kwa namba hii kisha mzigo wako utatumwa na ndani ya siku 2 itakufikia popote ulipo"[emoji16] Yaani biashara ya mamilioni ifanyike kama biashara ya nyanya geengeni? Na hapo hapohajui hata nipo mkoa gani... Nikastaajabu! Nikamwambia bro kwani ofisi / store yenu iko wapi? Akasema tupo Arusha, nkamwqmbia sio kesi mimi nipo dar naomba namba yako ya simu kisha nipe location ntakuja hadi hapo store kwenu. Baada yakumwambia hivyo hakujibu tena txt na akanibloku kabisa. Ikabidi jicheke tu [emoji16].

Nikarudi kwenye page yake nika comment aache utapeli afanye kazi, alafu nikamwambia kajifunze mbinu za kitapeli sio hii, hii itakukamatisha fasta... Ndani ya dakika tu comment ikafutwa nikalambwa na block kabisa [emoji3].

Sema jamaa alipiga dana hela yule maana nilkua naona malalamiko kwa watu, kwamba "mimi numeagiza helment ila week ya pili hii sijapata"! Comment ukirudi baada ya muda unakuta imefutwa, Pia jamaa alikua anaushamba kidogo na mtandao wa instagram maana hata comment alikua anaachia tu.. Angejua ku ingore comment kwma Mr.kuku angepigahela nyingi sana. Sasaivi ile page siioni kabisa, sijui imefutwa au amebadili jina..

TUWENI MAKINI MAZEE




Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mzee umeua .. nadhani umefunga mjadala
Wizara utakuta hazina hata taarifa, istoshe hapo inavyoonekana sio utapeli wa moja kwa moja, kwamba unampa tu hela kisha anakimbia, hapana... Huo ni utapeli wa kitaalamu, kuna mikataba utasainishwa wakati wa kuinvest hiyo 150k yako.

Sasa kwenye ile mikataba kutakua na vipengele vitamlinda sana yeye Mr. Kuku, na wewe mbongo kwakua akili yako yote ilikua ikiwaza kuvuna mil 8 basi hata hautajishughulisha kuusoma mkataba kwa kuuelewa, utasoma ili umalize kusoma tu.

Mfano kwenye mkataba kunaweza kua na kipengele kinachosema... "Endapo mradi ukapata hasara nakupelekea investor kushindwa kulipwa return yake, basi investor atarudishiwa return yake ndani ya miaka 5 ijayo baada ya tarehe husika ya return". Mzee baba hapo itakuta mkataba upo kwa lugha ya malikia basi mbongo unajikuna unaambukia this is na that [emoji3]..

Kimbembe kitakuja siku ambayo unatakiwa kupata return yako.. Kwanza watakaa kimya tu, utapowakumbusha hapo ndipo zitapokusa sababu za hapa na pale... Mfano unaweza kuambiwa "Kuku waliugua ugonjwa wa gafra na kupelekea kufa hivyo mradi uliingia kwenye hasara, investor wote wamepata hasara kwaiyo return yako tunatarajia kuirudisha baada ya miezi 6 mingine kwenye mradi ujao" hapo ndio bye bye hio mkuu..

Ukianza kulalamika utaambiwa nenda mahakamani [emoji3]... (Hapo umesha sahau kama ulisign mkataba, na huo mkataba hukuusoma na kuuelewa wote).. Hapo hesabu ushapigwa tayari.

Nakumbuka mwaka jana kuna jamaa alitapeli sana watu huko instagram... Watu walinyooshwa sana, alikua anajiita "PIKIPIKI MTUMBA" [emoji16]... Alikua anapost zile bikes kali kali za dede, kama honda, enduro, ktm kuanzia cc 250 hadi zingine za cc 1000 kwa bei sawa na bure. Utakuta honda ya cc 450 anauza kwa 2.5 milioni. Kumbe jamaa alikua na strategy pendwa kwamba "Tunatuma jadi mkoani, kwa uaminifu mkubwa"

Basi baada ya kuvutiwa na bei zake nikasema hebu ngoja nimuibukie whatsap (maana alishaweka namba kwa BIO pale juu )... Basi nikaeleza shida yangu pale, kwawamba nimeipenda pikipiki fulani bei yake ikoje? Nikatajiwa mil 3, nikamwambia mimi nina mil 1.8, naomba unisaidie kaka... Akakaa kimya kwa sekunde kadhaa kisha akajibu sawa lete hiyo. Nikamuuliza utaratibu ukoje?... Hapa ndipo aliponihakikishia kwamba yeye tapeli though nilishaana kuhisi harufu ya utapeli kabla [emoji3].

Jamaa akanambia "tuma hiyo pesa kwa namba hii kisha mzigo wako utatumwa na ndani ya siku 2 itakufikia popote ulipo"[emoji16] Yaani biashara ya mamilioni ifanyike kama biashara ya nyanya geengeni? Na hapo hapohajui hata nipo mkoa gani... Nikastaajabu! Nikamwambia bro kwani ofisi / store yenu iko wapi? Akasema tupo Arusha, nkamwqmbia sio kesi mimi nipo dar naomba namba yako ya simu kisha nipe location ntakuja hadi hapo store kwenu. Baada yakumwambia hivyo hakujibu tena txt na akanibloku kabisa. Ikabidi jicheke tu [emoji16].

Nikarudi kwenye page yake nika comment aache utapeli afanye kazi, alafu nikamwambia kajifunze mbinu za kitapeli sio hii, hii itakukamatisha fasta... Ndani ya dakika tu comment ikafutwa nikalambwa na block kabisa [emoji3].

Sema jamaa alipiga dana hela yule maana nilkua naona malalamiko kwa watu, kwamba "mimi numeagiza helment ila week ya pili hii sijapata"! Comment ukirudi baada ya muda unakuta imefutwa, Pia jamaa alikua anaushamba kidogo na mtandao wa instagram maana hata comment alikua anaachia tu.. Angejua ku ingore comment kwma Mr.kuku angepigahela nyingi sana. Sasaivi ile page siioni kabisa, sijui imefutwa au amebadili jina..

TUWENI MAKINI MAZEE




Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ile ni ponzi scheme na ndio maana wanajitangaza sana ili wapate pesa za kulipa waliowekeza kutoka kwa member wapya....hakuna namna kuku wanalipa hivyo, na kama wanalipa hivyo kwanini wasibaki na hiyo faida wao wakupe wewe, wangechukua hata mkopo bank ambapo riba kwa mwaka haizidi 20% wazalishe hizo faida wabaki nazo.
Wao kila sili wanatangaza kutafuta wawekezaji sababu ndio deci ilivyo hela.za leo zinalipa wajana mpaka pale kiwango cha waingiaji wapya kikiwa kidogo kuliko waliopo, hapo ponzi scheme itafeli.
Ni ajabu mpaka sasa mamlaka zimeacha utapeli huu wa wazi uendelee.
 
Ile ni ponzi scheme na ndio maana wanajitangaza sana ili wapate pesa za kulipa waliowekeza kutoka kwa member wapya....hakuna namna kuku wanalipa hivyo, na kama wanalipa hivyo kwanini wasibaki na hiyo faida wao wakupe wewe, wangechukua hata mkopo bank ambapo riba kwa mwaka haizidi 20% wazalishe hizo faida wabaki nazo.
Wao kila sili wanatangaza kutafuta wawekezaji sababu ndio deci ilivyo hela.za leo zinalipa wajana mpaka pale kiwango cha waingiaji wapya kikiwa kidogo kuliko waliopo, hapo ponzi scheme itafeli.
Ni ajabu mpaka sasa mamlaka zimeacha utapeli huu wa wazi uendelee.
Very correct
 
Correct..
Ile ni ponzi scheme na ndio maana wanajitangaza sana ili wapate pesa za kulipa waliowekeza kutoka kwa member wapya....hakuna namna kuku wanalipa hivyo, na kama wanalipa hivyo kwanini wasibaki na hiyo faida wao wakupe wewe, wangechukua hata mkopo bank ambapo riba kwa mwaka haizidi 20% wazalishe hizo faida wabaki nazo.
Wao kila sili wanatangaza kutafuta wawekezaji sababu ndio deci ilivyo hela.za leo zinalipa wajana mpaka pale kiwango cha waingiaji wapya kikiwa kidogo kuliko waliopo, hapo ponzi scheme itafeli.
Ni ajabu mpaka sasa mamlaka zimeacha utapeli huu wa wazi uendelee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jamaa wanaitwa Mr Kuku Farms, wanasema wanafanya ufugaji wa kuku na wanahkmiza watu kuwekeza kwa ahadi kwamba unavuna mara 2.

Nimeona wamepost na shuhuda mbalimbali motomoto kama zile za kwa mwamposa. Mmoja anasema aliwekeza sh laki 3.5 na anategemea kuvuna 8M.

Swali nalo jiuliza kwanini iwe rahisi kupata fedha kiasi hiki kwa muda mfupi kuliko bank yeyote au soko la hisa?

Napata wasiwasi isije kuwa ni DESI imerudi kiani maana huwezi pata mara 2 kirahisi hivi wakati kuna makampuni yanafuga kuku nanyanapata hasara.

Naomba kwa yeyote anaye jua hawa Mr kukus ni wafugaji kweli wa kuku?

Je, kama kuna mtu amesha fanya nao uwekezaji , atupe ushuhuda wake motomoto?

Je, kwanini kama ni biashara ya uwekezaji wasifanyie soko la hisa DSE?

Serikali ipo wapi kutoa ufafanuzi wa jambo hili walau watu tufuse million kwa myda mfupi.

Kwa wale ambao mnataka kuona shuhuda motomoto tembelea instagram Mr_kukus

Nataka nijitose kwa kuwekeza mil 2 ili zikisha komaa nihune kama mil 80 ndani ya miaka 2.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuchukua fedha ya MTU yeyete Kwa biashara/kuziwekeza ,inabidi Bot na mamlaka ya masoko na mitaji (cmsa)ihusike kama aihusiki basi unaweza kuja taperiwa

Hakuna faida ya hivyo,nazan hata NMB wangeanza biashara yakuku , mil 3 izae mil 50?miezi sita?mwaka mil 100? ,bank ingewatafuta iwakopeshe

Pia wanasema wanabima,hakuna bima inayokatwa kaajiri ya hasara za biashara
 
Back
Top Bottom