Mr.HUSSEIN BASHE

Mr.HUSSEIN BASHE

We we ndiyo unaona hivyo.
Ukiangalia post yangu ya Kwanzaa kwenye uzi huu utagundua nilitaka kuchallenge jinsi anavyonukuu takwimu na kuzitafsiri.
Uko sahihi kuhusu mimi kuona hivyo.

Lakini hapa chini sijaona hata mfano tu wa 'data' zozote ulizotumia ku-'crush' hayo unayosema kupikwa kama mfano, ila unakimbilia wengine walete ndio uonyeshe kwa kisingizio cha 'cherrypicking'.

Pili, ambalo ni muhimu, jamaa kwa kweli bado inabidi afanye some homework kwa sababu mengi anayoongea si ya kweli.
Facts nyingi anazoongea ni za kupika kama alivyo Zitto Kabwe. Tatizo ni kwamba, ukipinga serikali (ambayo ni haki ya msingi) una uhakika wa kudhaniwa kuwa una uelewa mkubwa na unafikiri nje ya sanduku.
 
Uko sahihi kuhusu mimi kuona hivyo.

Lakini hapa chini sijaona hata mfano tu wa 'data' zozote ulizotumia ku-'crush' hayo unayosema kupikwa kama mfano, ila unakimbilia wengine walete ndio uonyeshe kwa kisingizio cha 'cherrypicking'.
Yeah, so?
 
Nimekuwa namfatilia sana huyu Mbunge wa Nzega, uchangiaji wake bungeni hasa kwenye sector ya uchumi na kilimo, nawaza tu jamaa ana madini ya hatari sana mpka raha ,Ila kwa upeo wangu mbona Rais hata uwaziri au unaibu waziri hapewi ,pili mm kwa mawazo yangu huyu jamaa akiwa Rais wetu 2020 ,tutasonga sana mbele aisee jamaa anajua sana ,karibuni wadau tumchambue huyu jamaa kama anaweza kutufaa huko mbeleni!!
Bashe yupi huyo unaemzungumzia?huyo kibaraka wa Lowassa na Rostam?
kumteua Bashe kua waziri ni sawa tu na kumteua Rostam kua waziri
 
Nimekuwa namfatilia sana huyu Mbunge wa Nzega, uchangiaji wake bungeni hasa kwenye sector ya uchumi na kilimo, nawaza tu jamaa ana madini ya hatari sana mpka raha ,Ila kwa upeo wangu mbona Rais hata uwaziri au unaibu waziri hapewi ,pili mm kwa mawazo yangu huyu jamaa akiwa Rais wetu 2020 ,tutasonga sana mbele aisee jamaa anajua sana ,karibuni wadau tumchambue huyu jamaa kama anaweza kutufaa huko mbeleni!!
Haiwezekan Rais wa Tanzania akawa si Mtanzania
 
Uko sahihi kuhusu mimi kuona hivyo.

Lakini hapa chini sijaona hata mfano tu wa 'data' zozote ulizotumia ku-'crush' hayo unayosema kupikwa kama mfano, ila unakimbilia wengine walete ndio uonyeshe kwa kisingizio cha 'cherrypicking'.
Ndugu yangu achana na Kobello, ni mmoja katika wale wateteaji wakubwa wa status quo...yaani haijalishi nani yuko madarakani, yeye ni kutetea tu. Alivyokuwa anaitetea serikali chini ya Kikwete, huwezi kuamini ni huyu huyu anayeitetea serikali chini ya Jiwe. Nyakati hizo juhudi zake kubwa zilielekezwa katika kuponda data walizokuwa wakitoa waliokuwa wanaikosoa serikali hiyo. Najaribu kutafuta jina sahihi la mtu mwenye tabia kama zake lakini bado nimeshindwa.
 
Nimekuwa namfatilia sana huyu Mbunge wa Nzega, uchangiaji wake bungeni hasa kwenye sector ya uchumi na kilimo, nawaza tu jamaa ana madini ya hatari sana mpka raha ,Ila kwa upeo wangu mbona Rais hata uwaziri au unaibu waziri hapewi ,pili mm kwa mawazo yangu huyu jamaa akiwa Rais wetu 2020 ,tutasonga sana mbele aisee jamaa anajua sana ,karibuni wadau tumchambue huyu jamaa kama anaweza kutufaa huko mbeleni!!
WEWE NI MTANZANIA KWELI? KAMA KWELI BASI HAUKO SAWA KICHWANI.
 
Ndugu yangu achana na Kobello, ni mmoja katika wale wateteaji wakubwa wa status quo...yaani haijalishi nani yuko madarakani, yeye ni kutetea tu. Alivyokuwa anaitetea serikali chini ya Kikwete, huwezi kuamini ni huyu huyu anayeitetea serikali chini ya Jiwe. Nyakati hizo juhudi zake kubwa zilielekezwa katika kuponda data walizokuwa wakitoa waliokuwa wanaikosoa serikali hiyo. Najaribu kutafuta jina sahihi la mtu mwenye tabia kama zake lakini bado nimeshindwa.
Nilishamjua tokea siku nyingi huyu. Kumnyamazia ni kumpa heshima ya kuendelea ku'bully' watu kama anavyofanya huyo anayetumia vyombo vya dola ku'brutalise' wengine. Kwa vile hapa hakuna polisi, tutakataa kuburuzwa kimawazo.
Wacha wafanye huko huko mitaani, lakini sio hapa.
 
Ndugu yangu achana na Kobello, ni mmoja katika wale wateteaji wakubwa wa status quo...yaani haijalishi nani yuko madarakani, yeye ni kutetea tu. Alivyokuwa anaitetea serikali chini ya Kikwete, huwezi kuamini ni huyu huyu anayeitetea serikali chini ya Jiwe. Nyakati hizo juhudi zake kubwa zilielekezwa katika kuponda data walizokuwa wakitoa waliokuwa wanaikosoa serikali hiyo. Najaribu kutafuta jina sahihi la mtu mwenye tabia kama zake lakini bado nimeshindwa.
Kokoto au Changarawe.
 
Hii CCM ya mafisadi wauaji,....bashe mwenyewe alibanwa korodani na mlango kwa sababu ya kuongea his mind,mimi baada ya NAPE ni BASHE kuna mapungufu kila mtu anayo ila Bashe asiposoma alama za nyakati atauwawa kisiasa na huenda akatengenezewa kifo BASHE HUSEIN hama chama cha mapinduzi,njoo huku tupambane na Lissu atakuwa ametia nanga mbona utanikumbuka.
Umeandika mavi
 
Nimekuwa namfatilia sana huyu Mbunge wa Nzega, uchangiaji wake bungeni hasa kwenye sector ya uchumi na kilimo, nawaza tu jamaa ana madini ya hatari sana mpka raha ,Ila kwa upeo wangu mbona Rais hata uwaziri au unaibu waziri hapewi ,pili mm kwa mawazo yangu huyu jamaa akiwa Rais wetu 2020 ,tutasonga sana mbele aisee jamaa anajua sana ,karibuni wadau tumchambue huyu jamaa kama anaweza kutufaa huko mbeleni!!
We ndiyo mke wa Bashe ?
 
Mkuu umetuhama au ninakosea mkuu ????
Mimi nimekihama chama cha mapinduzi nimehamia chama cha DEMOKRASIA NA MAENDELEO na niko underground kwa sasa il vyama vya CUF ya Maalim Seif na Chadema vitakapoungana
 
Back
Top Bottom