Mr.HUSSEIN BASHE

Mr.HUSSEIN BASHE

Nimekuwa namfatilia sana huyu Mbunge wa Nzega, uchangiaji wake bungeni hasa kwenye sector ya uchumi na kilimo, nawaza tu jamaa ana madini ya hatari sana mpka raha ,Ila kwa upeo wangu mbona Rais hata uwaziri au unaibu waziri hapewi ,pili mm kwa mawazo yangu huyu jamaa akiwa Rais wetu 2020 ,tutasonga sana mbele aisee jamaa anajua sana ,karibuni wadau tumchambue huyu jamaa kama anaweza kutufaa huko mbeleni!!

Ana ' Uvuguvugu ' na ' Unafiki ' mwingi. Naomba niishie hapa tafadhali.
 
Hii CCM ya mafisadi wauaji,....bashe mwenyewe alibanwa korodani na mlango kwa sababu ya kuongea hi mind,mimi baada ya NAPE ni BASHE kuna mapungufu kila mtu anayo ila Bashe asiposoma alama za nyakati atauwawa kisiasa na huenda akatengenezewa kifo BASHE HUSEIN hama chama cha mapinduzi,njoo huku tupambane na Lissu atakuwa ametia nanga mbona utanikumbuka.
Mkuu umetuhama au ninakosea mkuu ????
 
waswahili wanasema "ukitaka kujua utam wa ngoma uingie ucheze"...km ulishawahi kucheza draft au mpira...utagundua kua ukiwa nje ya game unaona mambo mengi sana ila ukiwa ndani mambo ni tofauti...hawa wazungumzaji wazuri wakina Bashe,Zitto n the likes ukiwapa nafasi ktk uogozi utashangaa matokeo yao...
 
Kuchambua,kuongea na urais ni kitu kingine,hata Polepole alikuwa ni mchambuzi mzuri sana wa katiba aliyekuwa pamoja na wananchi baada ya kupata kawaacha wananchi utafikri siyo Polepole yule wa katiba mpya.
Mkuu nashukuru sana yaani ulivyonikumbusha huyo jamaaa polepole,naona thamani ya hii post haipo tena ,ni kweli uchambuzi sio kigezo,ila tumchambue zaidi back side yake kuacha hotuba za uchangiaje wake bungeni!
 
Nadhani sio katika kundi la kuaminiwa na Maghufuli. Katika siasa kila mtu yupo kwenye inner circle Fulani.

Pili, ambalo ni muhimu, jamaa kwa kweli bado inabidi afanye some homework kwa sababu mengi anayoongea si ya kweli.
Facts nyingi anazoongea ni za kupika kama alivyo Zitto Kabwe. Tatizo ni kwamba, ukipinga serikali (ambayo ni haki ya msingi) una uhakika wa kudhaniwa kuwa una uelewa mkubwa na unafikiri nje ya sanduku.

Ila huwa wanaongea kwa hisia kama waimbaji wa R&B. Mtu anaeongea kwa hisia, muogope mara nyingi ni mnafiki. Ndiyo maana waimbaji wengi wa R&B siyo watu wazuri kwenye mapenzi.

Tafuta clip ya hotuba moja uliyoipenda ya waheshimiwa hawa waili, nitakuonyesha wapi wanapokosea dakika kwa dakika.
point number mbili nimeipenda
 
Hata mawaziri. Wengi wao kwa kweli mungu atusamehe.
Ukichunguza kwa umakini, pale mjengoni asilimia 75% ni usanii.
Brazaa hapo utashtakiwa kwa takwimu fake haaaa 75%usanii
Unamzungumziaje aliyewateua mpka aibu haaa
 
Nimekuwa namfatilia sana huyu Mbunge wa Nzega, uchangiaji wake bungeni hasa kwenye sector ya uchumi na kilimo, nawaza tu jamaa ana madini ya hatari sana mpka raha ,Ila kwa upeo wangu mbona Rais hata uwaziri au unaibu waziri hapewi ,pili mm kwa mawazo yangu huyu jamaa akiwa Rais wetu 2020 ,tutasonga sana mbele aisee jamaa anajua sana ,karibuni wadau tumchambue huyu jamaa kama anaweza kutufaa huko mbeleni!!
Hakuna mtanzania kamili mpaka tutawaliwe na msomali? Angalia kenya inavyoteseka na alshabab kuwa tofautisha na walotoka Somalia ni shida
 
unaambiwa watu wenye vipara uelewa wao ni mdogo sana
 
waswahili wanasema "ukitaka kujua utam wa ngoma uingie ucheze"...km ulishawahi kucheza draft au mpira...utagundua kua ukiwa nje ya game unaona mambo mengi sana ila ukiwa ndani mambo ni tofauti...hawa wazungumzaji wazuri wakina Bashe,Zitto n the likes ukiwapa nafasi ktk uogozi utashangaa matokeo yao...
Kuna harufu ya ukweli umemwaga hapa Braza, kweli naamini "an empty stomach is the bad advisor"
 
mapinduzi yataletwa na mawazo kama ya Bashe na sio wazee wa kwenye mdahalo , maana tafiti zinaonesha ukishakua mzee akili zinapungua sana kama mlivoona wale wazee akili zao zilishapungua wanatembelea initial za elimu zao
 
Brazaa hapo utashtakiwa kwa takwimu fake haaaa 75%usanii
Unamzungumziaje aliyewateua mpka aibu haaa
Ana waziri mkuu mzuri, Foreign affairs, Treasury na Local governments kote mawaziri wake naona ni watu smart sana na wanachapa kazi.
Hizo wizara nyingine ni basi tu, itabidi a-recruit vijana kwenye inner circle yake waje kupiga kazi. Siyo vijana kama wa wizara ya utamaduni. No! Vijana atakaoweza kuwapa ubunge hata kimabavu ili wamsaidie kuijenga hii nchi.
Zaidi ya hapo, atakuwa na wakati mgumu kwa kweli. Yaani ni yeye anaeamua kila kitu mpaka unashangaa sometimes.
 
Hii CCM ya mafisadi wauaji,....bashe mwenyewe alibanwa korodani na mlango kwa sababu ya kuongea hi mind,mimi baada ya NAPE ni BASHE kuna mapungufu kila mtu anayo ila Bashe asiposoma alama za nyakati atauwawa kisiasa na huenda akatengenezewa kifo BASHE HUSEIN hama chama cha mapinduzi,njoo huku tupambane na Lissu atakuwa ametia nanga mbona utanikumbuka.
Nadhani wewe ndo umeshindwa kusoma alama za nyakati.
 
mapinduzi yataletwa na mawazo kama ya Bashe na sio wazee wa kwenye mdahalo , maana tafiti zinaonesha ukishakua mzee akili zinapungua sana kama mlivoona wale wazee akili zao zilishapungua wanatembelea initial za elimu zao
Well ,well, tupate mawazo mbadala ya watu lakin wanaosoma na kufanya tafiti zenye mantiki kwa ustawi wa nchi yetu.
 
Jamaa anajua anachokifanya sio hao wengine wafuata upepo
 
Got it somewhere
 

Attachments

  • FB_IMG_15418534568666565.jpg
    FB_IMG_15418534568666565.jpg
    144.5 KB · Views: 22
Pili, ambalo ni muhimu, jamaa kwa kweli bado inabidi afanye some homework kwa sababu mengi anayoongea si ya kweli.
Facts nyingi anazoongea ni za kupika kama alivyo Zitto Kabwe. Tatizo ni kwamba, ukipinga serikali (ambayo ni haki ya msingi) una uhakika wa kudhaniwa kuwa una uelewa mkubwa na unafikiri nje ya sanduku.

Hili ndilo tatizo la watu wanaojiona wao wanachokijua ndio sahihi na mawazo ya wengine sio
Kwa vile umezungumzia facts, wewe ndio ulitakiwa utoe mfano wa hizo unazoziona kuwa ni uongo na unafiki. Badala yake unasukumiza uletewe ndio uchambue!
 
Back
Top Bottom