Tafuta video ya Mr blue na Abby skills ya 2004 inaitwa maria utamuona Ali kiba anaogopa kamera ndo bado alikuwa chipukizi hata hajulikani.Kiba mwenyewe anasema Dully ndio kamtoa...anasema dully alimsikia anaimba hom kwao akamchukua mpaka sound crafter temeke kurekodi...
Unabisha au huyu dogo kibakuli alikuwa anacheza cheza tu mpira kabla hajakutana na wakina abby skyels n blueHaha they cheated again lol
Haaaa kapekue documentary vizuri!Ndio hata Bob Marley alidrop kimuziki sababu hiyo hiyo.
Dully ndo kamtoa kiba wala blue hakuusika labda ana jipa maujiko tu mjomba wake ndo alikuwa anakaa karibu na dully ndo akaona huyu dogo anakipaji baada ya kusikia akiimbaa daah blue kazinguaUnabisha au huyu dogo kibakuli alikuwa anacheza cheza tu mpira kabla hajakutana na wakina abby skyels n blue
Dully ndo kamtoa kiba wala blue hakuusika labda ana jipa maujiko tu mjomba wake ndo alikuwa anakaa karibu na dully ndo akaona huyu dogo anakipaji baada ya kusikia akiimbaa daah blue kazingua
Hii nyimbo ndo Ali kiba katolewa humor na Mr blue na Abby skills ndo walimuexpose mshikaji inawqzekana pia dully Ana mchango wake lakini huwezi kupuuzia Mr blue pia.
Hii nyimbo ndo Ali kiba katolewa humor na Mr blue na Abby skills ndo walimuexpose mshikaji inawqzekana pia dully Ana mchango wake lakini huwezi kupuuzia Mr blue pia.
Watu watabishana sana kuhusu kumsaidia Alli Kiba kuanza muziki ila hiyo siri anaijua Kiba mwenyewe. Kila mtu atajigamba kivyake. Ila cha kujiuliza katika hao waliomsaidia kutoka je wao wako wapi kimuziki?Haha sasa kuonekena kwenye video ndo nini sikiliza ile interview vizuri ya blue lete strong point hata sijampinga Mr blue ila dully wa every thing
Haaaa kapekue documentary vizuri!
bangi nibangue niweze vuka maji ya shingo bila mbupu kurowa,lipua
Boy wako akiona hii post basi kitakachokupata usiache kuleta mrejesho kule kwenye jukwaa letu la malovee.Diamomd Platnumz ndio baba lao, hakunaga kama yeye. Itakuwa vizuri pia kuona wengine wanafikia au hata kuzidi, alipofika na anapozidi kwenda kwa baraka za Mungu.
Love mingi kwa Diamond jamani, inabidi nionane na huyu kaka maana naanza kukosa usingizi kila nikimuwaza mume wa Zari, anipe hug tu itanitosheleza kujisikia raha kama mshabiki wake na mpenda maendeleo mie mtoto wa kike.
aaah bob ganja ilikuwa inampa mzukaaaaNdio hata Bob Marley alidrop kimuziki sababu hiyo hiyo.
aaah bob ganja ilikuwa inampa mzukaaaa
mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmLove mingi kwa Diamond jamani, inabidi nionane na huyu kaka maana naanza kukosa usingizi kila nikimuwaza mume wa Zari, anipe hug tu itanitosheleza kujisikia raha kama mshabiki wake na mpenda maendeleo mie mtoto wa kike.
Boy wako akiona hii post basi kitakachokupata usiache kuleta mrejesho kule kwenye jukwaa letu la malovee.
(Hakuna mwanaume anayekubali kuona mpenzi wake anamsifia mwanaume mwingine, kama unabisha fanya uchunguzi taratibu)