Mpwapwa watibiwa chini ya mti

Mpwapwa watibiwa chini ya mti

tatizo sio wananchi apo lupeta ata halmashauri inashida ukiangalia budget yake ya maendeleo inachangia 4% kwaiyo ili kupeleka maendeleo huko wanategemea busket fund ndio kitu kinachochelewesha maendeleo ktk wilaya ya mpwapwa. pili upinzani tanzania bado wanachagua maeneo kupeleka harakati mfano chadema mpwapwa imejaa matapeli tu hakuna mtu serious, pia wagombea vijana wengi sio wakazi mpwapwa wengi ni wasaka vyeo wakipata ulaji makazi yao dar

Mkuu kulaumu upinzani eti chadema wanawabagua siyo kweli,kwanini wasijaribu waone
 
Wananchi wa kijiji cha Lupeta wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma wanaendelea kutibiwa chini baada ya miaka 50 ya uhuru, jamani huu ni uhuru au dhuruma?

Chanzo: ITV habari


Hakuna dhuluma hapo kila kitu ni utashi tu.

Halafu eti mnategemea madaktari waende huko, huduma za kijamii(mf. benki,) zifike huko! Abt two weeks ago niliona tena Umasaini huko watu wanaenda kilomita zaidi ya mia tatu(300km) kupata huduma ya afya tena katika Zahanati.

Ndio wajipange.........wasifanye kosa tena katika uchaguzi.......la sivyo wataenda hivyo miaka 100 ya uhuru..........

Naona una imani kubwa sana na watanzania waliokunywa 'maji ya kijani'.

Acha tu watibiwe si wanajifanya hawana akili wala kuona ccm inavyowanyanyasa! Siku hilo limti litakapo wadondokea watakua na akili.

Yaani kuna watu ambao huwezi kuwabadilisha mawazo, mtazamo wao. Sasa hao watanzania wenzetu wanaamini hata hiyo ya kutibiwa chini ya mti ni favor kutoka serikalini! Usishangae hata kupata majibu, "hivi unadhani isingekuwa hata hii serikali kusisitiza kupanda miti, tungekuwa tunatibiwa wapi" au " mimi najivunia serikali yangu pamoja na kwamba bado hatujapata hospitali, lakini serikali imejitahidi kuleta 'daktari' huwa tunakuja hapa tunatibiwa na tunapona, tunaomba tu izidishe 'misaada' zaidi ya dawa maana 'saingine' inachelewa sana!
 
Wananchi wa kijiji cha Lupeta wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma wanaendelea kutibiwa chini baada ya miaka 50 ya uhuru, jamani huu ni uhuru au dhuruma?

Chanzo: ITV habari[/
wakijengewa Zahanati hivi sasa watasifia serikali kama wanavyosifia serikali wananchi wa Kiteto kwa kupata Lami kwa mara ya kwanza
 
Mkuu kulaumu upinzani eti chadema wanawabagua siyo kweli,kwanini wasijaribu waone

kaka sio kama nalaumu upinzani ila najaribu kutoa picha hali ilivyo mpwapwa kwa sababu wapinzani wenyewe hawajaonyesha ule serious wa kutaka kufanya mabadiliko mpwapwa nilifika mpwapwa mwaka jana nikaambiwa mwenyekiti wa cdm sio mtu mwenye ushawishi mkubwaa nikashangaa kwanini yule katibu mwenezi taifa bwn kigaila asiwe ndio wa kuongoza harakati mpwapwa wakanijibu kigaila kahamia dodoma ndio maana nasema mpwapwa hakuna upinzani serious
 
kaka sio kama nalaumu upinzani ila najaribu kutoa picha hali ilivyo mpwapwa kwa sababu wapinzani wenyewe hawajaonyesha ule serious wa kutaka kufanya mabadiliko mpwapwa nilifika mpwapwa mwaka jana nikaambiwa mwenyekiti wa cdm sio mtu mwenye ushawishi mkubwaa nikashangaa kwanini yule katibu mwenezi taifa bwn kigaila asiwe ndio wa kuongoza harakati mpwapwa wakanijibu kigaila kahamia dodoma ndio maana nasema mpwapwa hakuna upinzani serious

Mkuu nashukuru kwa ufafanuzi mzuri ulioshiba,sasa unafikiri hao wananchi watajikomboa kweli kwa kuendelea kumtegemea huyo mbunge wao bila kupata chachu ya upinzani?maana hapa tunajaribu kuangalia hali halisi ya watu hao.
 
Wananchi wa kijiji cha Lupeta wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma wanaendelea kutibiwa chini baada ya miaka 50 ya uhuru, jamani huu ni uhuru au dhuruma?

Chanzo: ITV habari[/
wakijengewa Zahanati hivi sasa watasifia serikali kama wanavyosifia serikali wananchi wa Kiteto kwa kupata Lami kwa mara ya kwanza

Duuuu,mkuu hii ni hatari sijui mvua ikinyesha hali inakuwaje na mbunge wao yupo anawapita kwa vx lake na kuwapungia mkono.
 
Mkuu kulaumu upinzani eti chadema wanawabagua siyo kweli,kwanini wasijaribu waone

sio nalaumu upinzani ila nawashangaa kwa sababu nilienda mpwapwa kwenye shughuli zangu mwaka jana nikakuta upinzani hauna nguvu kwa sababu ya kukosa watu serious mfano yule kigaila katibu mwenezi taifa naskia ndio kwao huko lakini amejikita zaidi kwenye siasa za kitaifa lakini anashindwa kwenda kuhamasiasha vijana katika eneo lake ndio maana nasema upinzani ni kama matapeli tu wenyewe wanaangalia sehemu zinazoonekana hawataki periphery
 
sio nalaumu upinzani ila nawashangaa kwa sababu nilienda mpwapwa kwenye shughuli zangu mwaka jana nikakuta upinzani hauna nguvu kwa sababu ya kukosa watu serious mfano yule kigaila katibu mwenezi taifa naskia ndio kwao huko lakini amejikita zaidi kwenye siasa za kitaifa lakini anashindwa kwenda kuhamasiasha vijana katika eneo lake ndio maana nasema upinzani ni kama matapeli tu wenyewe wanaangalia sehemu zinazoonekana hawataki periphery

Sawa mkuu umeeleweka maana ukweli lazima utabaki ukweli hata kama ni mchungu,nina imani ndugu yetu kigaila kaliona hilo na naamini sasa ataongeza nguvu za kichama ili upinzani uwe active hapo mpwapwa.
 
Mkuu nashukuru kwa ufafanuzi mzuri ulioshiba,sasa unafikiri hao wananchi watajikomboa kweli kwa kuendelea kumtegemea huyo mbunge wao bila kupata chachu ya upinzani?maana hapa tunajaribu kuangalia hali halisi ya watu hao.

kwa jinsi nilivyowaona wananchi wana ari ya mabadiliko ila tatizo hawajapata mtu sahihi wa kuleta hayo mabadiliko mi naamini kwa hali ilivyo hapo hakuna mwananchi anayefurahia pia kama umesoma vzuri comment yangu nimesema halmashauri inachangia 4% ktk budget yake fedha zingine wanategemea kutoka mfuko wa maendeleo kwaiyo nadhani unapata picha ya hali ya uchumi ktk halmashauri yao
 
kwa jinsi nilivyowaona wananchi wana ari ya mabadiliko ila tatizo hawajapata mtu sahihi wa kuleta hayo mabadiliko mi naamini kwa hali ilivyo hapo hakuna mwananchi anayefurahia pia kama umesoma vzuri comment yangu nimesema halmashauri inachangia 4% ktk budget yake fedha zingine wanategemea kutoka mfuko wa maendeleo kwaiyo nadhani unapata picha ya hali ya uchumi ktk halmashauri yao

Nimekuelewa vizuri sana,ktk hali kama hiyo inatakiwa wawe na mbunge strong na mpambanaji kweli ili aibane serikali,ili kuwatazama kwa jicho la tatu hao wana mpwapwa.
 
Tanzania hii kuna watu wanashida sana lakini viongozi wetu tunao wategemea wanagawana mabilioni wanaenda kuficha ulaya wakati wananchi wake wanatibiwa chini ya mti

Nawashauri waendelee kuchagua li ccm tu
Maana tumechoka kuwashauri hakuna namna nyingine
 
Wacha watibiwe hata juu ya mti, huo mkoa si ndio wanaojifanya hawaelewi wala hawasikii kuhusu CCM, imekula kwao.
 
Wacha watibiwe hata juu ya mti, huo mkoa si ndio wanaojifanya hawaelewi wala hawasikii kuhusu CCM, imekula kwao.
 
Hahahahahhaha....nimeona aisee,nikacheka sana...halafu kama umegundua nchi hii sehemu ambazo ni ccm wanatawala nakuwa na nguvu kubwa ni maskini sanaaaa,yaan sanaaa

Sababu zinazowapa nguvu CCM katika maeneo hayo, ndio hizo hizo zinazowafanya watibiwe chini ya miti = U J I N G A
 
Hao wako loyal kwa CCM, endeleeni kuwapa elimu kuwa loyalty yao kwa CCM ndo majanga yao
 
Wananchi wa kijiji cha Lupeta wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma wanaendelea kutibiwa chini baada ya miaka 50 ya uhuru, jamani huu ni uhuru au dhuruma?

Chanzo: ITV habari

Tatizo watanzania wahapendi kukaa pamoja kama wazungu.... Unakuta mtu mmoja ana shamba hekari kibao na mwingine hivyo hivyo wakiwa 1000 unakuta eneo la kukaa watu 100000 wanamiliki watu 1000 sasa unadhani serikali itaweza vp kupeleka huduma kwa watu hao
 
Back
Top Bottom