Kwa kweli maeneo ya vijijini ni shiiiiiida! Badilikeni,Nyerere alishakufa Nchi wanaongoza wasanii!
Domy hapo Lupeta sio kijijini mkuu ni mjini, ipo pembezoni kidogo ya mji, sio bush huko! Bush ni Huko Igoji au Matomondo ha ha ha wagogo bwana! Watanizangu halafu ni wabishi. mich know balaa!
Hapo wakiletea chakula na serkali au chichiemu kwa kile wao wanaita "mpokeo" haki ua mam hata wakienda wabunge wooooooioite wa Ukawa na watia nia wao wa urais, hawatawaambia kitu juu ya chichiem!
Wagogo hoyeeeeeeeee3ee na mwaka huu ulivyo wa njaa sijui hata kama upinzan utapata kura!
eti mada kama hizi hazina wachangiaji wengi? penye uhai panapuuzwa kwenye siasa pana shadidiwa. poor us.
Halafu pembeni yao kuna libendera kuubwa la ccm!wakitoka hapo wanakwambia ccm imeleta maendeleo..kweli tunahitaji kupimwa akili
Domy hapo Lupeta sio kijijini mkuu ni mjini, ipo pembezoni kidogo ya mji, sio bush huko! Bush ni Huko Igoji au Matomondo ha ha ha wagogo bwana! Watanizangu halafu ni wabishi. mich know balaa!
Hapo wakiletea chakula na serkali au chichiemu kwa kile wao wanaita "mpokeo" haki ua mam hata wakienda wabunge wooooooioite wa Ukawa na watia nia wao wa urais, hawatawaambia kitu juu ya chichiem!
Wagogo hoyeeeeeeeee3ee na mwaka huu ulivyo wa njaa sijui hata kama upinzan utapata kura!
Wananchi wa kijiji cha Lupeta wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma wanaendelea kutibiwa chini baada ya miaka 50 ya uhuru, jamani huu ni uhuru au dhuruma?
Chanzo: ITV habari
Wananchi wa kijiji cha Lupeta wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma wanaendelea kutibiwa chini baada ya miaka 50 ya uhuru, jamani huu ni uhuru au dhuruma?
Chanzo: ITV habari
Nilivoona habari hii, tayari mtia nia George malima Lubeleje ame disqualify....haiwezekani kijiji alichozaliwa akitelekeze namna hii.Nimeona wapo watia nia9 wa ccm pale yani ni mara elfu10 mumchague yule mtia nia kijana mwenye fikra mpya anaweza wasaidia kidogo.Ukizungumza habari za upinzani kwa wagogo hasa wa maeneo hayo unaweza pigwa mawe.
Acha tu watibiwe si wanajifanya hawana akili wala kuona ccm inavyowanyanyasa!