Lubeleje si huwa anawanunuliwa miwa au wewe mkuu huwa hupendi miwa? kwakweli wilaya ya mpwapwa bado mpo usingizini,mnahitaji kuchapwa viboko ndo mtaamka. Na mwaka huu Lubeleje huenda akarudi mjengoni
Yaani huwa anawanunulia plastic mbili za pombe za kienyeji ambazo thamani yake ni kama 10,000/= kila kijiji na wazee wetu huwambii kitu tena anawaongelesha kiluga ndiyo kabisa, baada ya miaka mitano ndiyo anarudi tena. Yaani kule inatakiwa viboko kabisa