mpoki uwa anaongea maneno ambayo on other hand ukiyafikilia unaona kabisa kwamba yana logic , binafsi uwa namfagilia sana na kwenye comedy uwa naifwatilia bcoz of him na ile session yake ya 'KAUZU ZAIDI YA DAGAA' na wakati ana act kama mhaya nilikuwa napenda vibaya mno....huyu jamaa anakipaji cha kuchekesha...hatumii nguvu nyingi...ana maneno yasiyokwisha...."bata hata awe mchafu vip, atataga yai jeupeee"
moja ya maneno yake jana kwenye KILI MUSIC AWARDS...
tupia vimbwanga/vijimaneno vyake vingine....
kabisa mamy!Mr. Bean wetu... mapenzi huanza nyumbani ndio utoke nje. hata yeye kasema jana.
Poa tu shem wangu!huyo ndio shemeji yangu...asante sana...na za masiku?vip mimba yako imechagua kunichukia mm?
Hahaha, aya bana ukikua utaacha hata sisi tulikuwa kama wewe lakini si kihivyo wewe umezudisha lakini tushakuwa watu wazima tushaacha so ni muda wako.
Note: kama kuuza sura yako hakumake ela basi haimake sense kuendeleaa kuuza.
jamaa anaishu za kibwabwa sana
Sinaga hobbie naye
we mwenyewe Demu,nikupe namba ya demu tena we ch...o...k...oKipande kinauzika hiki!na ninajijua kama unataka kuhakikisha niyasemayo nipe namba ya demu anayebabaikia wauza sura nikutane nae akupe taarifa
we mwenyewe Demu,nikupe namba ya demu tena we ch...o...k...o
mbona jazba dogo?nna uhakika kama una demu asilimia mia hawezi kunikataa........maneno yako inaelekea umaskini na muonekano wa ajabu ndo unakusumbua!