Mpoki kichwa bana! Mnakumbuka enzi za mambo hayo Mpoki alivyoigiza hana mikono alafu akawa anamtongoza demu huku joti amejificha nyuma yake akawa anatongoza alafu joti anatumia mikono yake kufatilizia maneno ya Mpoki ili demu asijue Mpoki hana mikono! joti alikuwa anafatilizia maneno ya Mpoki bila kukosea! Binafsi ni komedi iliyowahi kunichekesha mno na huwa naomba wairudie siku moja!Kuku kuku jogoo jina
Mkuki haupigwi konzi
Mwili si hoja kikubwa virutubisho
Choo cha treni hakina chemba
Ndimu changa haina maji
Mbona sijaona msemo wowote wa kusisimua hapo. Isitoshe hii misemo hajatunga yeye na badala yake huwa anakopi tu kutoka kwa Gea Habib yule wa kipindi cha ''Kwa Raha Zako'' cha Clouds Fm.
Mpoki kichwa bana! Mnakumbuka enzi za mambo hayo Mpoki alivyoigiza hana mikono alafu akawa anamtongoza demu huku joti amejificha nyuma yake akawa anatongoza alafu joti anatumia mikono yake kufatilizia maneno ya Mpoki ili demu asijue Mpoki hana mikono! joti alikuwa anafatilizia maneno ya Mpoki bila kukosea! Binafsi ni komedi iliyowahi kunichekesha mno na huwa naomba wairudie siku moja!
mbona sijaona msemo wowote wa kusisimua hapo. Isitoshe hii misemo hajatunga yeye na badala yake huwa anakopi tu kutoka kwa gea habib yule wa kipindi cha ''kwa raha zako'' cha clouds fm.
Bonge wa Pb + gea habib ndo balaaa...mpok kawaida2 yoo
Mhogo mchungu ndiyo baba lao anawapita wote akina Mpoki, Gea Habibu, Bonge na hata Mrisho Mpoto. Bahati mbaya yake ni kwamba yeye siyo muuza sura kama hao hapo
This the funniest one of all time. LOL
Mbona sijaona msemo wowote wa kusisimua hapo. Isitoshe hii misemo hajatunga yeye na badala yake huwa anakopi tu kutoka kwa Gea Habib yule wa kipindi cha ''Kwa Raha Zako'' cha Clouds Fm.
Wakubwa kwa wale ambao kwa namna moja ama nyingine tume kuwa tukifuatilia vipindi vya original komedi nadhani mtakubaliana nami kwamba huyu sylvester mjuni aka MPOKI amekuwa na misemo ya ajabu ambayo nashindwa kuelewa kwamba amesomea au kipaji binafsi tu.Baadhi ya misemo yake ni kama
1.nyoka hana kiuno ndo maana havai shanga
2kukaa karibu na godauni si kupata kazi
3.usimsifu babako kwamba anajua kukimbia bali msifu na baba wa mwenzio aliyemkimbizia baba yako
4kukaa karibu na shule sio kujua kusoma
5kukaa karibu na mahakama sio kujua sheria
6kama akili ni nywele basi watu wasingenyoa siku ya mtihani na mengine mingi
wakubwa naomba kutoa hoja