nikubhilikile uje
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 264
- 240
Salama ndugu zanguni.
Mimi sijaoa ila nimejaribu kujiuliza sana kati ya mke na Mme wawe wamepishana miaka mingapi? Kwani nimejalibu kufanya uchunguzi kwa wazazi wangu na Ndugu zangu nimegundua kuwa kunampishano mkubwa wa kiumri katika ndoa zao na hicho kinawezekana kuwa ni sababu ya kudumu na kueshimiana katika ndoa zao na kuzeeka katika hali inayoendana.
Ni kirejea katika ndoa za Siku izi unakuta wanandoa kiumri wamepisha miezi au miaka michache sana na hiki kinaweza kuwa tatizo la ndoa nyingi kuvunjika au kutokuwepo na heshima katika ndoa?
JE? Katika kuoa inatakiwa mpishane kiumri miaka mingapi? Ili mwendane na mwenzako, naombeni tushare hili swala
Mimi sijaoa ila nimejaribu kujiuliza sana kati ya mke na Mme wawe wamepishana miaka mingapi? Kwani nimejalibu kufanya uchunguzi kwa wazazi wangu na Ndugu zangu nimegundua kuwa kunampishano mkubwa wa kiumri katika ndoa zao na hicho kinawezekana kuwa ni sababu ya kudumu na kueshimiana katika ndoa zao na kuzeeka katika hali inayoendana.
Ni kirejea katika ndoa za Siku izi unakuta wanandoa kiumri wamepisha miezi au miaka michache sana na hiki kinaweza kuwa tatizo la ndoa nyingi kuvunjika au kutokuwepo na heshima katika ndoa?
JE? Katika kuoa inatakiwa mpishane kiumri miaka mingapi? Ili mwendane na mwenzako, naombeni tushare hili swala