Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,004
- 95,489
Kuku wa maziwa una sumbua kinyamaTangu uanze miliki pisi unazingua sana
Kuku wa maziwa una sumbua kinyamaTangu uanze miliki pisi unazingua sana
Endelea kukaza fuvuAcha utani mkuu miaka 15?
Mbona nbali sana mzee?
Maana yake nikitaka kuoa nigikishe miaka 35 yeye akiwa na 20?
Hapo hajakomaa huyo
umemaliza kila kituHata miaka 50 fresh tuu, cha msingi kikojoleo viweze kuhimili mikikimikiki
Yasikutishe hayo, huyo sasa ndio anafaa.Sawa mkuu
Tatizo kameanza salamu shikamoo
Na magoti juu siunajua wasukuma tena🤣
Ulimpatiw wapi huyo bikraSijui mi nilichozingatia ni kuoa mwanamke bikra basi.
Demu au mke ??Wangu nimemzidi 4yrs 2001/2005 yupo cool sana.
Wako wengiUlimpatiw wapi huyo bikra
Elewa swali sijakuuliza wako idadi gani nimekuuliza umempatia wapi?Wako wengi
mke wangu mkuu!Demu au mke ??
mke wangu mkuu!Demu au mke ??
Kamaanisha tafuta uliyemzidi zaidi ya Miaka 10 ili hata mkipata watoto asionekane kama Mama yako mdogo, Wanawake wakishapata watoto wana badilika mwili unakua mkubwa .Acha utani mkuu miaka 15?
Mbona nbali sana mzee?
Maana yake nikitaka kuoa nigikishe miaka 35 yeye akiwa na 20?
Hapo hajakomaa huyo
Mwanamke ni kiumbe ambacho kipo flexible,mwanamke mwenye umri wa miaka 10 anaweza simamia vizur sana familia hata ikiwa kubwa vipi,muhimu tu viwepo vyakula na mahitaji mengineAcha utani mkuu miaka 15?
Mbona nbali sana mzee?
Maana yake nikitaka kuoa nigikishe miaka 35 yeye akiwa na 20?
Hapo hajakomaa huyo
Tofauti kabisa na mwanaume wa miaka hiyo yeye anakuwa anawaza kucheza TU 😂😂😂Mwanamke ni kiumbe ambacho kipo flexible,mwanamke mwenye umri wa miaka 10 anaweza simamia vizur sana familia hata ikiwa kubwa vipi,muhimu tu viwepo vyakula na mahitaji mengine
Sawa mkuuKamaanisha tafuta uliyemzidi zaidi ya Miaka 10 ili hata mkipata watoto asionekane kama Mama yako mdogo, Wanawake wakishapata watoto wana badilika mwili unakua mkubwa .
Nimeelewa mkuuMwanamke ni kiumbe ambacho kipo flexible,mwanamke mwenye umri wa miaka 10 anaweza simamia vizur sana familia hata ikiwa kubwa vipi,muhimu tu viwepo vyakula na mahitaji mengine
Kuna baadhi ya familia ukienda hadi unashangaa kibinti cha umri huo kilivyo makin,utashangaa mara ile jion kimepotea kidogo kinarudi na mboga za majani,yaan kameshajua wazaz wakichelewa kurud inabid kafanye mpango kenyew wa kupata mbogaTofauti kabisa na mwanaume wa miaka hiyo yeye anakuwa anawaza kucheza TU 😂😂😂
😂😂😂 Ilq wa kiume anaenda kucheza kabumbu mpaka usiku saa tatu ndo anarudi na anagoma kuoga🤣🤣🙆Kuna baadhi ya familia ukienda hadi unashangaa kibinti cha umri huo kilivyo makin,utashangaa mara ile jion kimepotea kidogo kinarudi na mboga za majani,yaan kameshajua wazaz wakichelewa kurud inabid kafanye mpango kenyew wa kupata mboga
Hii ndilo gap sahihi kabisa🤣🤣🤣
Mababu zetu mbona walioa hivo
Mzee na maza age gape 10
Usinikatishe tamaa
Nimemuelewa
😁😁,😂😂😂 Ilq wa kiume anaenda kucheza kabumbu mpaka usiku saa tatu ndo anarudi na anagoma kuoga🤣🤣🙆