Mpishano wa ki umri

Mpishano wa ki umri

Acha utani mkuu miaka 15?
Mbona nbali sana mzee?
Maana yake nikitaka kuoa nigikishe miaka 35 yeye akiwa na 20?
Hapo hajakomaa huyo
Mwanamke ni kiumbe ambacho kipo flexible,mwanamke mwenye umri wa miaka 10 anaweza simamia vizur sana familia hata ikiwa kubwa vipi,muhimu tu viwepo vyakula na mahitaji mengine
 
Tofauti kabisa na mwanaume wa miaka hiyo yeye anakuwa anawaza kucheza TU 😂😂😂
Kuna baadhi ya familia ukienda hadi unashangaa kibinti cha umri huo kilivyo makin,utashangaa mara ile jion kimepotea kidogo kinarudi na mboga za majani,yaan kameshajua wazaz wakichelewa kurud inabid kafanye mpango kenyew wa kupata mboga
 
Kuna baadhi ya familia ukienda hadi unashangaa kibinti cha umri huo kilivyo makin,utashangaa mara ile jion kimepotea kidogo kinarudi na mboga za majani,yaan kameshajua wazaz wakichelewa kurud inabid kafanye mpango kenyew wa kupata mboga
😂😂😂 Ilq wa kiume anaenda kucheza kabumbu mpaka usiku saa tatu ndo anarudi na anagoma kuoga🤣🤣🙆
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom