Mpira umeisha kwa Amani wanaodai Haki haikutendeka wanataka kuvuruga michuano ya AFCON.

Mpira umeisha kwa Amani wanaodai Haki haikutendeka wanataka kuvuruga michuano ya AFCON.

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
24,144
Reaction score
56,410
Watanzania hatujui kipaumbele chetu ni nini, Amani kwanza au Haki kwanza.

Baada ya mechi kwisha na Tanzania kutolewa kwa (1 - 0) na Morocco, wachezaji na benchi lote la ufundi walisimama wakimlalamikia refa kuwa hakutenda Haki, vile vile kuna Watanzania wanasema refa hakutenda haki kawanyima Stars penalty ya wazi.

Mimi nasema tumshukuru Mungu mpira umeisha kwa Amani kabisa, turudi nyumbani tujipange upya, wanaodai Haki wanataka kuvuruga Amani ya mashindano ya AFCON.

Tumuombe kiongozi wa msafara Paul Makonda awafikishie viongozi wenzake jinsi inavyouma pindi unaponyimwa haki yako.
 
Watanzania hatujui kipaumbele chetu ni nini,
Amani kwanza au Haki kwanza.

Baada mechi kwisha na Tanzania kutolewa kwa (0-1) na Morocco, wachezaji na benchi lote la ufundi walisimama wakimlalamikia refa kuwa hakutenda Haki, vile vile kuna Watanzania wanasema refa hakutenda haki kawanyima Stars penalty ya wazi.

Mimi nasema tumshukuru Mungu mpira umeisha kwa Amani kabisa wanaodai Haki wanataka kuvuruga Amani ya michezo ya AFCON.
Upo sahihi kabisa. Hivyo ndivyo CCM huwa wanashinda
 
Watanzania hatujui kipaumbele chetu ni nini, Amani kwanza au Haki kwanza.

Baada mechi kwisha na Tanzania kutolewa kwa (0-1) na Morocco, wachezaji na benchi lote la ufundi walisimama wakimlalamikia refa kuwa hakutenda Haki, vile vile kuna Watanzania wanasema refa hakutenda haki kawanyima Stars penalty ya wazi.

Mimi nasema tumshukuru Mungu mpira umeisha kwa Amani kabisa, turudi nyumbani tujipange upya, wanaodai Haki wanataka kuvuruga Amani ya michezo ya AFCON.
Refa alikuwa huru na ameamua kwa haki kabisa, wanalalamika kwa sababu wamefeli
 
Watanzania hatujui kipaumbele chetu ni nini, Amani kwanza au Haki kwanza.

Baada mechi kwisha na Tanzania kutolewa kwa (0-1) na Morocco, wachezaji na benchi lote la ufundi walisimama wakimlalamikia refa kuwa hakutenda Haki, vile vile kuna Watanzania wanasema refa hakutenda haki kawanyima Stars penalty ya wazi.

Mimi nasema tumshukuru Mungu mpira umeisha kwa Amani kabisa, turudi nyumbani tujipange upya, wanaodai Haki wanataka kuvuruga Amani ya michezo ya AFCON.
Amani kwanza, Refa hajashambuliwa. Kwanini Tuvunje Amani ya AFCON? Tujipange miaka minne ijayo. AMANI KWANZA HAKI NDO INAFATA.
 
Taifa ambalo halitendi haki kwa raia wake huku viongozi waliojipachika madaraka wakiwazodoa na kuwabagaza, halafu linaenda nje linadai litendewe haki.

Wananchi wakifanya maandamano wanauawa kama kuku, halafu wachezaji wa timu ya taifa wanataka kuleta taharuki na kufanya maandamano kisa hawajatendewa haki.
 
Watanzania hatujui kipaumbele chetu ni nini, Amani kwanza au Haki kwanza.

Baada mechi kwisha na Tanzania kutolewa kwa (0-1) na Morocco, wachezaji na benchi lote la ufundi walisimama wakimlalamikia refa kuwa hakutenda Haki, vile vile kuna Watanzania wanasema refa hakutenda haki kawanyima Stars penalty ya wazi.

Mimi nasema tumshukuru Mungu mpira umeisha kwa Amani kabisa, turudi nyumbani tujipange upya, wanaodai Haki wanataka kuvuruga Amani ya michezo ya AFCON.

Tunamuomba kiongozi wa msafara Paul Makonda awafikishie viongozi wenzake jinsi inavyouma pindi unaponyimwa haki yako.
Nimefurahi sana Taifa star kufungwa. safi sana
 
Mungu akitaka kukufundisha kitu anatumia njia yoyote ili itakapofika wakati wa maamuzi magumu kama ya Venezuela husilalamike
Tumekuwa na mjadala mrefu wa kipi kianze kati ya haki au aman
Kwakuwa Mungu ni mwingi wa huruma bado ametumia timu yetu ya taifa kutufundisha kile kile tulicho kuwa tunabishania
Sasa ikifika wakati Mungu akanyamaza tusimtafute mchawi
 
Back
Top Bottom